BIN BOR Mtake radhi Sita, amekukosea nini mpaka unamtukana. Hivi kweli imefika mahala pa kumfananisha huyu mzee na Anna Makinda? Hata kama amekukosea kitu sidhani kama ulistahili kujichukulia sheria mikononi na kumtukana.
Usiweke neno, weka tu % ya kila mmoja wao.
Mama Makinda namuonea huruma hili bunge si saizi yake maana benchmark iko very high foe her to reach.....aki jump anafikia 15%....she is even poor....performer
Kuwa fair ni kuwapima kwa vikao vyao wiwili vya mwanzo walivyoongoza pale Bungeni na siyo Sitta miaka mitano na Makinda miezi 4!
Kumbukeni hata Sitta alianza kama Makinda, au tumesahau alivyosimamia upitishwaji wa adhabu ya Zitto!!!!!
Originally Posted by Dr G
Makinda 3%
Sitta 89%
hivi kumbe hisabati ni janga la taifa hadi humu jf??? 89+3 sawa sawa na 92, hiyo 8 iliyobaki ikowapi???
Makinda -100% Sitta 100%Makinda 0.0001
Sitta 99.9999
BIN BOR Mtake radhi Sita, amekukosea nini mpaka unamtukana. Hivi kweli imefika mahala pa kumfananisha huyu mzee na Anna Makinda? Hata kama amekukosea kitu sidhani kama ulistahili kujichukulia sheria mikononi na kumtukana.