johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,877
Kamisaa wa Sensa Spika mstaafu Anne Makinda amesema jumla ya Makarani wa Sensa 10 walikufa wakati wa utekelezaji wa zoezi la Sensa.
Source Star tv
=====
LICHA YA MAFANIKIO KATIKA SENSA, MAKARANI 10 WALIJIUA NA KUUAWA:
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi Nchini, Anne Makinda amesema licha ya mafanikio makubwa yaliyoonekana kwenye kazi ya Sensa la 2022 kuzifikia kaya, jumla ya makarani kumi walipoteza maisha kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kujiua na kuuawa.
Makinda ametoa ripoti hiyo huko mkoani Manyara wakati alipokutana na Kamati ya Sensa mkoani hapo kwa minajili ya kupokea taarifa ya zoezi la Sensa ambapo Mkuu wa Mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere amesema kwamba zaidi ya kaya 300,000 ziliweza kufikiwa kwenye kazi hiyo.
Source Star tv
=====
LICHA YA MAFANIKIO KATIKA SENSA, MAKARANI 10 WALIJIUA NA KUUAWA:
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi Nchini, Anne Makinda amesema licha ya mafanikio makubwa yaliyoonekana kwenye kazi ya Sensa la 2022 kuzifikia kaya, jumla ya makarani kumi walipoteza maisha kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kujiua na kuuawa.
Makinda ametoa ripoti hiyo huko mkoani Manyara wakati alipokutana na Kamati ya Sensa mkoani hapo kwa minajili ya kupokea taarifa ya zoezi la Sensa ambapo Mkuu wa Mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere amesema kwamba zaidi ya kaya 300,000 ziliweza kufikiwa kwenye kazi hiyo.