johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,875
Kamishna wa Sensa mh Anna Makinda amewataka vijana kuwa makini na matapeli wanaojifanya watawaunganishia ajira kwenye Tume ya Sensa.
Makinda amesema Tume haiajiri bali makarani wote wataajiriwa na ofisi za serikali za mitaa kule wanakoishi.
Source: ITV habari
Makinda amesema Tume haiajiri bali makarani wote wataajiriwa na ofisi za serikali za mitaa kule wanakoishi.
Source: ITV habari