simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Nchi inawenyewe na wenyewe ni wao!
Hizi ni kanuni za kulindana,pumbavuuuuuuuuuu zaooooo!
Umemaliza kuharisha upatiwe maji?January ni kichwa na mara zote tumeamini hivyo na hivyo ndivyo alivyo. Jamaa ni kichwa zito ka kurupuka kutafuta umaarufu ili hali anajua ukweli. Yaan zito anavyohangaikia kutafuta umaarufu angekuwa anahangaika hivyo kumtafuta mungu ni dhahiri angekwenda mbinguni
Mlitegemea nini kutoka kwa kada wa CCM. Hawa wote wanafanana. Tofauti yao ni pale wanapovizia mwenzake aondoelewe ili yeye aingie, nothing more. Kuna makanda wachache sasa wapo CCM wanapiga right timing ili waruke upande mwingine. certainly JM is not one of these!
Mie naona mbio za CCM kuimbia chadema zimefikia hapa
View attachment 52236
hata wafanyaje, wataliwa tu
Akina January wanajaribu ku-equal Zitto's intelligence kitu ambacho hakiwezekani
January comes from a silver spoon and Zitto ni mtoto wa kikopo