Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Mkuu mtendee haki spika haitwi BI KIROBOTO, muwe na heshima kwa watu wazima bana.Bi Kiroboto amefanya hivyo kwa maslahi binafsi. Maslahi ya chama!!! Nafikiri kwanza hawakuamini kuwa sahihi zitatosha ... maana wangekuwa wametoa kauli hiyo toka asubuhi. Lakini wameona zimefika 66 wanajua inawezekana sasa wanataka wawaaminishe watz kuwa Zitto kakosea.