scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,771
- 5,539
Baada ya serikali kufanikiwa kwa asilimia kubwa kukataza mifuko ya plastic naomba sasa ikataze mawig na makeup
Najua serikali ya awamu ya tano ni sikivu hvo naamini italifanyia kazi suala hili
Ebu wanaume njooni hku kwanza tusemezane
Najua serikali ya awamu ya tano ni sikivu hvo naamini italifanyia kazi suala hili
Ebu wanaume njooni hku kwanza tusemezane