Makerere University goes top in the region

Now I can sum up matatizo yako yanapoanzia.

Ok, labda nikupe mwanga kidogo wa tuliokipata akina sie tulokubali kuacha kirago usubuhi ili kuwahi namba na kipindi cha kwanza kabisa usubuhi {hisabati}.

Webometrics wanakiri kwamba ni vigumu sana kupata info kwenye vyuo vingi haswa Africa, Asia na kwingineko. Kwa waona kigezo cha website kinapoanzia?? DOES that ring the bell somewhere kwenye akili yako ya Std 7?

Pamoja na majisifu yako kwamba uliacha kirago usubuhi, hakuna kitu mukichwa yako.
Inawekana ulikuwa unatimiza wajibu wa kuhudhuria shule kwa kumuogopa ticha wa zamu manake alivyokuwa anatandika bakora, usimpimie kabisa.
Au la inawezena ndio wale mabingwa wa kuiba mitihani ili muonekane mmefaulu sana kwa alama za juu, kisa muonekane mna akili mingi sana kuliko watu wengine.

Mazee acha ubishi na majisifu yasokuwa na maana, kinachotakiwa ni kwenda shule na kuelimika sio kuhudhuria tu.
 
Pamoja na majisifu yako kwamba uliacha kirago usubuhi, hakuna kitu mukichwa yako.
Inawekana ulikuwa unatimiza wajibu wa kuhudhuria shule kwa kumuogopa ticha wa zamu manake alivyokuwa anatandika bakora, usimpimie kabisa.
Au la inawezena ndio wale mabingwa wa kuiba mitihani ili muonekane mmefaulu sana kwa alama za juu, kisa muonekane mna akili mingi sana kuliko watu wengine.

Mazee acha ubishi na majisifu yasokuwa na maana, kinachotakiwa ni kwenda shule na kuelimika sio kuhudhuria tu.

Naona hoja zimeisha. Nimekupa hoja kuhusu webomatrics na jinsi wanavotoa alama, unabaki kuwayawaya na kunijadili ingawa hunijui. Unaonesha jinsi gani IQ ilivo peanut.
 
wamewakomesha, hicho ndo chuo ambacho mimi nakichukia kuliko vyote duniani. walinitesa sana kisaikilojia nilipokuwa nasoma hapo miaka ya nyuma. natamani vyuo vingine vya binafsi hapo bongo viipige udsm bao hadi kiwe cha mwisho kabisa hapo tz ili pengine watajirekebisha katika mapungufu yao ambayo ni mengi kuliko vyuo vingine vyote.

Hivi kweli wewe ni mwana wa mungu?
 
Mwana wa mungu nakumbuka uliwahi kutoa comment hiyo hapo chini. Kweli unaniach hoi.

Re: Soko la Tandika Lauzwa

--------------------------------------------------------------------------------

kama ni chafu, uza. uza hata masoko mengine yaliyobaki kama tandare,buguruni, magomeni, kimala na mengine. tunahitaji majengo mazuri, mapya, yenye usafi, vyoo vizuri, na wauzaji wazuri. sio unanunua kitu anayekuuzia ameenda ****** hajanawa mikono, anatoka jasho, nguo chafu, chini tope hajafanya usafi hopeless. ni bora tuuze na ikiwezekana wenye uwezo wajenge majengo mazuri ya kisasa ya masoko. hatuwezi kubakia na mambo ya kizamani ili kuwafurahisha machinga!
 
Back
Top Bottom