Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Now I can sum up matatizo yako yanapoanzia.
Ok, labda nikupe mwanga kidogo wa tuliokipata akina sie tulokubali kuacha kirago usubuhi ili kuwahi namba na kipindi cha kwanza kabisa usubuhi {hisabati}.
Webometrics wanakiri kwamba ni vigumu sana kupata info kwenye vyuo vingi haswa Africa, Asia na kwingineko. Kwa waona kigezo cha website kinapoanzia?? DOES that ring the bell somewhere kwenye akili yako ya Std 7?
Pamoja na majisifu yako kwamba uliacha kirago usubuhi, hakuna kitu mukichwa yako.
Inawekana ulikuwa unatimiza wajibu wa kuhudhuria shule kwa kumuogopa ticha wa zamu manake alivyokuwa anatandika bakora, usimpimie kabisa.
Au la inawezena ndio wale mabingwa wa kuiba mitihani ili muonekane mmefaulu sana kwa alama za juu, kisa muonekane mna akili mingi sana kuliko watu wengine.
Mazee acha ubishi na majisifu yasokuwa na maana, kinachotakiwa ni kwenda shule na kuelimika sio kuhudhuria tu.