Habari wanaJf?
Nimekuwa nikisikia neno hili likitumika sehemu mbalimbali na watu wenye mafanikio makubwa katika utafutaji wa pesa,je neno hili lina uhusiano wowote wa kishetani?
Anayejua atutaarifu tafadhali,
Asante
Nimehudhuria tafrija nyingi za watu wenye pesa na kusikia wakitumia neno hil,i thought ni la kishetani sababu nishawahi kusikia hivyo so nikatatka nishare na nyie to verify it....I make it .......... Got ...... Full of stacks You better grab an umbrella, I make it rain on the hoes.......! Nafikiri ni maneno yanayotumiwa na watu wenye pesa nyingi, wakimaanisha kutumia pesa nyingi kula good time na pia kugawa hizo pesa na watu wao wa karibu kama marafiki utadhani Dunia inafika mwisho kesho hivyo ponda mali kufa kwaja. Sijui kama kuna suala la shetani hapo. Sidhani, ni watu kula good time to the max!! Spend, spend, spend ndo kauli mbiu!!
Habari wanaJf?
Nimekuwa nikisikia neno hili likitumika sehemu mbalimbali na watu wenye mafanikio makubwa katika utafutaji wa pesa,je neno hili lina uhusiano wowote wa kishetani?
Anayejua atutaarifu tafadhali,
Asante
say my name baby??
Dada masaiiiiii
Fat Joe ft Lil Wayne.........I make it .......... Got ...... Full of stacks You better grab an umbrella, I make it rain on the hoes.......! Nafikiri ni maneno yanayotumiwa na watu wenye pesa nyingi, wakimaanisha kutumia pesa nyingi kula good time na pia kugawa hizo pesa na watu wao wa karibu kama marafiki utadhani Dunia inafika mwisho kesho hivyo ponda mali kufa kwaja. Sijui kama kuna suala la shetani hapo. Sidhani, ni watu kula good time to the max!! Spend, spend, spend ndo kauli mbiu!!
say my name baby??
Habari wanaJf?
Nimekuwa nikisikia neno hili likitumika sehemu mbalimbali na watu wenye mafanikio makubwa katika utafutaji wa pesa,je neno hili lina uhusiano wowote wa kishetani?
Anayejua atutaarifu tafadhali,
Asante
Naam,perhaps its true..nimehudhuria events nyingi za makampuni makubwa yenye mafanikio,watu wenye pesa nyingi...Rain man ni miongon mwa majina mengine ya Shetani, wakisema make t rain huku wanamwaga zikianguka toka hewani means they worship rain man hawape blessings.
Makosa ya kiuandishi tu,si unajua si wote tumesoma journalism...so kuwa mpole as long as umeelewa!Mkuu.......kichwa cha habari kinakuwa kama unatuelezea..........tumbo la habari unatuuliza........sasa sikuelewi........
Hawa jamaa pia inasemekana ni Devil worshipers,na ukifuatilia nyimbo nyingi za wasanii utasikia neno hili likitumika ipasavyoFat Joe ft Lil Wayne.....
Mkuu.......kichwa cha habari kinakuwa kama unatuelezea..........tumbo la habari unatuuliza........sasa sikuelewi........