Make eid a public holiday in uk

Make eid a public holiday in uk

Wenzako wanajitahidi kueneza kiswahili na uswahili duniani kote...... wewe unajigamba kueneza uarabu na kiarabu.... desturi za kiarabu......

Kweli Mohamad alifanya kazi ....... maana ukoloni alioueneza unapiganiwa na mazuzu kwa gharama na namna yeyote.....

Ninyi hamjui kuwa dini yenu ina madoa ambayo hakuna awezaye kuyafuta........

Wewe -----
 
Du hatari...... hadi vyakula ni vya uarabuni..... sasa wengine wasukuma wamezoea nguna, wamasai roshoroo, wanyakyusa mbalagha, wachaga machalari, wamakonde samaki nchanga, wahehe kande sasa itakuwaje nyie watu wa Mohamad mkituletea haluwa yenye faluda......


Halafu lingine ambalo ni la msingi...... nakuomba sana...... Tafadhali ongea na yule kiongozi wa BoHa awaachie wale watoto .... sisi wazazi tunaumia moyoni sana na tuna huzuni sana kwa kitendo hicho cha kuwateka na kupanga kuwauza. Muombe na umuambie kuwa ALLAH atamthawabisha kwa kuwaokoa hao watoto....ambao hawajui vita wala siasa wala dini wala serikali......
Mkuu hilo ndilo ombi langu

Anza na Mkiristo mwenzako OBAMA mwambie aache KUUWA WATOTO WA WAISLAMU AFGHANISTAN.
PAKISTAN. KASHMIR. NA NCHI ZOTE ZA KIISLAMU.

Hao boko wanapiga mkwara tu wa kuwauza!
We wapi utapata soko la wasichana 200 dunia ya leo??

Hao viongozi wa KIKRISTO wao hawateki wakatishia Kuuza tu peke yake. La hasha! wa WANASHUSHA BOMB LA KUUWA WATOTO WACHANGA WASIO NA WANAWAKE WASIO NA HATIA YYT
Na kisa ni kuwa NCHI ZAO ZINA MAFUTA NA HAZITAKI KUWAPA HAO MAKAFIRI!

Mwambie na yesu aliyejitoa muhanga kwa ajili yenu atawapa uzima japo kuwa yeye huo uzima aliamua kuutoa mwenyewe!
 
Good idea. But do not forget Eid holidays cannot be fixed before hand as the date is fixed one night before Eid depending on if the moon is sighted and all Mullahs agree that they have seen it, which is not very often. In countries where clouds are around more often than in Arabia, this is a problem. So many observe on different days. Not an easy job for all Muslims to agree on anything that important. I am refering to Eid-ul fitr. So many muslims will tell their employers to have a day off on Monday, Tuesday or Wednesday. Not an easy task to plan for them.
 
"When you are in Rome do what the Romans does" IS A GALATIAN POLICY

We Muslims are NOT HERE TO PLEASE ANYBODY EXCEPT GOD ALMIGHTY.

We told the BNP, CRUSAIDERS , KKK and the rest! To BRING IT ON!
We ain't scared for NOBODY! and we ain't cowards like GALATIANS! Bending backwards to get what they want.

Huku WEST tutachukua kila kilicho haki yetu!

Hatubembelezi yale ya HAKI! Na imani yangu inaniambia kuwa ARDHI YOTE NI YA ALLAH!

Iwe TZ au Detroit! Zimbabwe au Kansas city! Kinshasa au London.

Na tukitakacho kama sio leo HATA KESHO KITAPATIKANA!

Sisi Sio wakristo wa kufanya kila anachokitaka MCHUNGAJI!

Hukumu ya kufuatwa ni ya ALLAH PEKE YAKE!
Hata kama Washikina watakasirika.

At-tawba
9; 33

هُوَ الَّذِي أَرْسَلَ رَسُولَهُ بِالْهُدَىٰ وَدِينِ الْحَقِّ لِيُظْهِرَهُ عَلَى الدِّينِ كُلِّهِ وَلَوْ كَرِهَ الْمُشْرِكُونَ

Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya Haki ipate kushinda dini zote, ijapo kuwa washirikina WATACHUKIA.

And yet you wonder why people are reluctant to associate with the likes of you... (and let me remind you the likes of you, I don't mean the people of faith but the extremists..)
 
And yet you wonder why people are reluctant to associate with the likes of you... (and let me remind you the likes of you, I don't mean the people of faith but the extremists..)

Teh teh teh!
Dont you know "extremists" is my middle name??

I get use to that!
Knock yourself out!
 
Ninachojua Obama, Bush jr, Blair nk wamefanya mabaya. lkn Nina uhakika hawajatumwa na Allah na wala hawajasema kuwa wametumwa naye. Wametumwa na ubinafsi wao au ushetani wao. Na sisi wapenda haki na usawa tunawalaani hata kama hatuna uwezo wa kuwazuia kuua watu wasio na hatia.

Sasa hawa BoHa wanasema wametumwa na Allah. Na wanasisitiza.

Pia kingine ni kuwa jina LA Allah likitajwa tu, hapo hamna utani..... Ni Lazima watawauza tu. Huo si mkwala. Watafanya kweli.
 
There is an e petitions which requested anybody to sign an e-petition to make EID an official Public Holiday In BRITAIN.

If anyone wants to sign the petition please click the link below and follow simple instructions.

We need 100,000 signatures before August this Year.

Thank you

Make Eid & Diwali Public Holidays - e-petitions

Bila shaka hii habari hataipenda mwanao wa kufikia Matola Teh. Teh teeeeh
 
Ninachojua Obama, Bush jr, Blair nk wamefanya mabaya. lkn Nina uhakika hawajatumwa na Allah na wala hawajasema kuwa wametumwa naye. Wametumwa na ubinafsi wao au ushetani wao. Na sisi wapenda haki na usawa tunawalaani hata kama hatuna uwezo wa kuwazuia kuua watu wasio na hatia.

Sasa hawa BoHa wanasema wametumwa na Allah. Na wanasisitiza.

Pia kingine ni kuwa jina LA Allah likitajwa tu, hapo hamna utani..... Ni Lazima watawauza tu. Huo si mkwala. Watafanya kweli.

Lord resistant Army ya UGANDA walikuwa wanabaka na kuuwa watoto wadogo. Na walikuwa wanateka kila mtoto watakae mpata ktk vijiji vya waganda!
Hawa walikuwa wakiyafanya haya KWA KUTUMIA JINA LA YESU!

Na kiongozi wao akisema Yesu ndio kiongozi wake aliyemuagiza kupigania jina lake! Na mpaka alama zao zina Msalaba!

Crusaders walipokwenda Jerusalem na kuanza KUUA na KULA NYAMA ZA WATOTO WA MAADUI ZAO! Hawa wote walisema wametumwa na mungu wa wakristo kuikomboa JERUSALEM kutoka kwa WAISLAMU!

Leo.hii Catholics na Protestant in Northern Ireland wanachinjana na kuripuana mabom Na kila mmoja anasema YESU ndio kiongozi wake. Na wametumwa kuisafisha Ireland kutoka kwa mashetani.

Unapoandika jaribu kutumia kichwa kufikiri.
 
So we forge by putting in our relatives' addresses? Isn't forgery a sin? Lets pray that God hears and melt the hearts of the rulers.

This is for UK residence only! Or even if you have relatives in UK and you know the Address YOU CAN SIGN TOO!
.Thanks
 
So we forge by putting in our relatives' address? Isn't forgery a sin? Lets pray that God hears and melt the hearts of the rulers.

You need to read through the line missy Eliot!

That was to sign ON BEHALF of your relatives in UK (if you have any).

and be specific here! What is that prayer for!?
 
Hahaha the lines are just too wide fellow missy eliot, and my big pretty eyes aint seeing nothing. Why on behalf, none of my siblings have gone through the western education, so they all live right here with me in the east, lol.


yaani hujajua what prayer hata sasa? You shld read above the lines now, huh!
You need to read through the line missy Eliot!

That was to sign ON BEHALF of your relatives in UK (if you have any).

and be specific here! What is that prayer for!?
 
Hahaha the lines are just too wide fellow missy eliot, and my big pretty eyes aint seeing nothing. Why on behalf, none of my siblings have gone through the western education, so they all live right here with me in the east, lol.


yaani hujajua what prayer hata sasa? You shld read above the lines now, huh!

That makes you and your siblings a good followers of boko haram.

They will loove those big pretty eyes of yours!

You might ending up being a queen!

Give them a call! Will ya!
 
This is for UK residence only! Or even if you have relatives in UK and you know the Address YOU CAN SIGN TOO!
.Thanks
While i reside here and would respectfully agree to Moslems given more religious freedom, this is a long stretch,as UK is notoriously a christian society.
Especially with the EU referendum pushed by UKIP at the moment this will only fuel the conservatives to close more doors to this great nation.
And i could sense conservatives pointing out that in Moslem countries religion freedom is not given to non moslems let alone public holidays.
 
While i reside here and would respectfully agree to Moslems given more religious freedom, this is a long stretch,as UK is notoriously a christian society.
Especially with the EU referendum pushed by UKIP at the moment this will only fuel the conservatives to close more doors to this great nation.
And i could sense conservatives pointing out that in Moslem countries religion freedom is not given to non moslems let alone public holidays.

I think your remarks does not reflect the truth at all.

Recently polls suggested that MAJORITY of Uk population has NO RELIGION AT ALL.

And Its the only.Muslims and few hindus who care about their religion affairs!

Others dont care at all.
And for the few Christians left in UK!
They lay back and watch their belief being abused with Gay marriages and so on.

This is what muslim in BRITAIN wants and by the Power of God almighty They will get it even if some political parties Didn't like.
 
Kwanini WAISLAM wanababaikia NCHI ZETU SISI WAKRISTU?
 
Brush up your english first banaa, aaagh!

im married mke wa 4, ndo nimefunga nyumba. Boko haram wananisikia tu. Wakiniteka watamuudhi Allah
That makes you and your siblings a good followers of boko haram.

They will loove those big pretty eyes of yours!

You might ending up being a queen!

Give them a call! Will ya!
 
Brush up your english first banaa, aaagh!

im married mke wa 4, ndo nimefunga nyumba. Boko haram wananisikia tu. Wakiniteka watamuudhi Allah


4 kids!! Damn! You ARE very busy girl!
No telle in the house!??

When you say NON of your siblings went through Western Education, I thought you ARE supporting boko haram!

By the way English is my 5th language! Miss copoun!

Just keep on producing them little galatians! You never know! One of them might turn up like Kakobe!
 
Back
Top Bottom