joystaff77
Member
- Sep 15, 2011
- 24
- 12
na bado ipo siku watalala nje hawana maana ni vigeugeu sana
Shule hakuna,uelewa hafifu,wanapiga na kuua ndugu zao bila kufikiria hadhi ya wanao watuma,wacha wakae humohumo,wameshindwa kujipigania hata wenyewe,ila mabingwa kupiga wenzao,sasa sisi tutawasaidiaje?