Makapuku Forum

Habari.
Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima. Napenda kuwaalika katika sherehe ya ndoa yangu, ni mda mrefu sasa wengi mkiisubiri! Harusi itafungwa katika kanisa la bugando mwanza jumamosi 19 mwezi wa kumi 2016 na baadae sherehe kufanyika katika ukumbi wa malaika. Mnakaribishwa sana njooni bila kukosa. Tuma sms hii kwa watu wengi uwezavyo.....Hata pia mimi nimeforward tu sijui ni ya nani...

From-Dennis/Mjeda
 
ETI

Umeshawahi kuwa single hadi ukaamua kununua viatu vya kike kisha ukaviweka mlangoni ili majirani wakipita wajue una demu ndani...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

KUA SINGLE NAO NI UGONJWA EEENH!!!
 
Pambaf
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Watu wengi hawajui kwa undani sana mtiririko wa Elimu yetu tangu zamani ulivyokuwa, Kwanza ilikuwa ni ngumu sana kufauru, unarudia shule au kununua jina la mtu akiyefauru na hana uwezo wa kulipa Ada, unachukua jina na unapiga shule bila matatizo kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…