Makapuku Forum

1928 - Didi anazaliwa.

Ni mwanasoka wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil.

Ameshinda Kombe la Dunia akiwa na Brazil mara mbili, Mwaka 1958 na mwaka 1962.

Katika mashindano ya kombe la dunia la mwaka 1958 yalifanyika pale Sweden, Didi alichaguliwa kuwa Mchezaji bora wa Mashindano hayo. Brazil hiyo ilikiwa na kijana wa miaka 17 aliyeiteka Dunia, alikuwa ni Pele.
 
1967 - Mwanamapinduzi Ernesto Che Guevara anakamatwa yeye pamoja na wafuasi wake huko Bolivia.

Alikamatwa na wanajeshi wa Bolivia kwa msaada wa CIA. Aliteswa vibaya sana kabla ya kuuwawa kikatili siku moja baadae.
Best ake fidel Castro...Mwanaharakati huyu mwanamapinduzi akumbukwe Daima na waliomuua damu yake iwe juu yao.
 
1968 - Zvonomir Boban anazaliwa.

Ni mwanasoka wa zamani wa Ac Milan na timu ya taifa ya Croatia.

Alisifika sana kwa umakini wake kupiga pasi za mwisho zenye macho na utulivu wake mkubwa uwanjani.

Haruna Moshi akaiga jina lake.
 
Wa kitambo..mhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…