Nchi hii bana sijui nape na nagufuli na mwigulu wanatupeeleka wapi
Kwa kile kinachodaiwa uchochezi kama nape alivyoona japo ni ukweli mtupu unaotakiwa usemwe bila woga nape aamua kuvifungia vituo vya radio vya magic fm na radio five kwa kile alichokiita maneno ya uchochezi