Nani kakwambia walikula team haina pesa za kusajili wachezaji wa maana ndio maana haifiki kutwaa ubingwa
Hayo mengine ni maneno ya mtaani tu
Nzuri kabisa, za weweHabari ya jioni wapendwa.
Hata mi nashindwa kabisa kuelewaView attachment 374386
Hizi sijui tuliweka za nini kama hatuzifuati
Ni kweli kabisaShughulika dadake
Simba haijawahi kufanya kitu cha kupongezwaUnatupa pole leo but baadae mtatupongeza tu
Siku hazilinganiNilitamani kuwepo nkawa tait