Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,296
- 68,376
Leo katika Historia:
1960 - Nchi ya Dahomey yajitangazia Uhuru wake toka kwa Ufaransa.
Dahomey ilikuja kufahamika baadae kama Benin.
Leo katika Historia:
1960 - Nchi ya Dahomey yajitangazia Uhuru wake toka kwa Ufaransa.
Dahomey ilikuja kufahamika baadae kama Benin.
Alikuwa vizuri sanaLeo katika Historia.
1976 - Hasan Sas anazaliwa.
Nyota wa zamani wa moira wa miguu toka Uturuki.
Leo katika Historia:
1960 - Mji wa Islamabad watangazwa rasmi kama mji mkuu wa Pakistan.
PouwaaNipo best sema ndo hvyo tu majukumu yananibana
Asante sana Mussolin5 kwa historia na sasa tuyacheki magazeti ya leo kama yalivyotufikia hapa kwenye meza ya makapuku kwa hisani ya ded wa bagamoyo aliyetumbuliwaAhsanteni kwa kuwa nami, kwa udhamini mnono wa Shululu mzee wa hijab, sina la ziada tukutane kesho.
Kwaherini.
Shida sana aiseeView attachment 374221View attachment 374222View attachment 374223
Sisi ndo tunahamia kijijini Dodoma
..........
Leo katika Historia:
1961 - Waziri wa Ulinzi wa Marekani anashauri kuanzishwa kwa Shirika la Ujasusi la Jeshi la Marekani na kufanya Marekani kuwa nchi ya kwanza yenye kutumia ujasusi wa Kijeshi.