Ni kweli kabisa#HapaKaziTu changamoto iliyofeli kabla ya kutimia lengo.
KaribuAsante kwa magazeti
Makamanda haoLeo katika Historia:
2006 - Fidel Castro anamkabidhi Mdogo wake Raul Castro madaraka ya kuwa Kiongozi wa nchi ya Cuba.
Licha ya kuwa ndugu, wote walikuwa kwenye " 26th July Movement " kikundi kilichofanikisha Mapinduzi ya Cuba ya mwaka 1959.
Leo katika Historia:
1992 - Georgia yajiunga Umoja wa Mataifa.
Leo katika Historia:
2006 - Fidel Castro anamkabidhi Mdogo wake Raul Castro madaraka ya kuwa Kiongozi wa nchi ya Cuba.
Licha ya kuwa ndugu, wote walikuwa kwenye " 26th July Movement " kikundi kilichofanikisha Mapinduzi ya Cuba ya mwaka 1959.
Leo katika Historia:
1976 - Paulo Wanchope anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Costa rica. Alicheza hadi ligi kuu ya England.
Makomredi wa ukweliMakamanda hao