Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,791
Tena ndo wanapatikana kwa wingi kwenye vizimba vya COET...na mabweni ya kule kwenye migahawa yaani wanajiachia tu hadi nikashangaa km wana hisa pale UDSM
...............
Mbona jibu ni rahisi....wana akili karibia tofauti na akina NyatiIla kuna swali la msingi la kujiuliza hapa, ni kwanini hawaishobokei Mlimani Primary na badala yake wakipenda kubarizi zaidi kwa Undergraduates? Ama wao wanajiona wameshamaliza elimu ya msingi na kwamba wao ni level nyingine?
Nachukia sana hiiView attachment 372512
Mwizi wa avatar
Mussolini njoo umuone
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
......
Acha utoz fanya biashara ya machungwa km mimi inalipaKwa kweli leo nli ishiwa bando
Hatareeee
AseeeAcha utoz fanya biashara ya machungwa km mimi inalipa
Banco halitaweza kukutesa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
...........
10. Pia Wurtzbach
View attachment 372573
Miss universe 2015, mwigizaji na mwana mitindo ana tokea phillipiness