Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
Nasema nasema kesho navamia kitengo cha MTUZuzu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
..........
Nasema nasema kesho navamia kitengo cha MTUZuzu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Morning to youGood morning,
Kipi hicho?Nasema nasema kesho navamia kitengo cha MTU
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
..........
Aaaaaah huyu vipi tenaaa?Asante kwa magazeti siku ya leo
Ila sasa ubuni chako
Hapa kila mtu ana category yake
Bitoz updates za mpira, Jambilo ni Je wajua,
Jimena ni magazeti, Mussolin5 ni leo katika historia
shululu anatuletea nukuu ya leo na Szczesny ye hutuletea 10 bora na waliosalia bado wanaumiza vichwa watoke vipi...
Hivyo na wewe buni kitu chako ambacho utakuwa unakipost sio kuiga kati ya hivyo vilivyo tayari, asante sana
Peace
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kimenogaaa?Chako
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.......
Hata hivyo huwa unapatisipeti kwa pichaChako
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.......
am fineMorning to you
Ni shiiida,Aaaaaah huyu vipi tenaaa?
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] nami ntapost mpira kabla haujachezwaKesho naamka SAA 10 alfajiri natupia magazeti
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
..........
zipo gud kkaNjema, za wewe???
Tofautisha kujazia nyama na kuingilia kazi ya MTUHata hivyo huwa unapatisipeti kwa picha
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] nami ntapost mpira kabla haujachezwa
Sina kipingamiziTofautisha kujazia nyama na kuingilia kazi ya MTU
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
.........
Ulilipigia kelele lile la kaleeNi shiiida,
Halafu hili jina nimelielewa vizuri
Halikuwa na mvuto.Ulilipigia kelele lile la kalee
Ha ha ha huu mfumo kiboko*Jinsi mzunguko wa Elimu ulivyo hapaTanzania*
01. Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical school.
02. Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa
wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.
03. Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia
Siasa na kuwaongoza wote hapo juu.
Yaani wa kwanza na wa pili.
04. Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juu
wote hawana raha.
05. Wale waliopata Zero na waliokataa
shule wanakuwa waganga wa kienyeji,
wote hapo juu watamtafuta huyu, pale
mambo yao yanapokwenda kombo. Tuache kudharauliana, kila mtu ni boss akiwa kwenye nafasi yake.