Makapuku Forum

Makapuku Forum

4) Jumba la kale..Petra Jordan
Picha na maeleza yatafuata
07aff78d32cb98d411382da53a70f6db.jpg
e3bddb69a2f0384ad2fd8c030ef529a4.jpg
fa77cf7acd8168920f67467e43993156.jpg
 
Wakuu makapuku pamoja na wageni wanaotukubali sana, ambao wanapita humu kimyakimya wakiogopa kutia neno.
Huu ndio wasaa wa kupitia mambo machache yenye sifa za kipekee kabisa:
JE WAJUA?
(1) Maajabu 7 ya dunia mpya (7 wonders of new world)
Maajabu haya hayajapewa namba au sifa ya kuzidiana, yamewekwa katika mizani iliyo sawa.
a) mnara wa Yesu mkombozi (Jesus redeemer).Ulikamilika kujengwa oktoba 12 mwaka 1931 na una urefu wa mita 30. Huu unapatikana Rio de Jeneiro BrazilView attachment 362294

(2) Maajabu mengine ni ukuta mkubwa wa chinaView attachment 362296

(3) mji mkongwe uliojengwa karne ya 15 uitwao Machu pachu huko PeruView attachment 362300

4) Jumba la kale..Petra Jordan
Picha na maeleza yatafuata
d3e1c0c5b4843ede071d56056717630c.jpg

5) Mapiramidi ya Chichan Itza..MexicoView attachment 362302

6)Roman colosseum huko
36e6e189a752472a18ef7757f71935c8.jpg
Rome Italy

7) Taj mahal..Agra India
Bitoz fanya yako net yazingua
1eaa71ea5139a131b2388208e0675265.jpg
Huo ndio mtiririko wa maajabu 7 mapya ya dunia
 
Back
Top Bottom