Makapuku Forum

Number 4, Solomon Islands


Hawa mwanzo hawakuwa hata na jeshi rasmi la polisi bali walitegemea vikundi vya ulinzi binafsi
Mpaka ilipo tokea migogoro ya ki kabila, ili bidi majeshi ya new zealand , singapore na Australia ndo ya katulize vurugu hzo
Baada ya hapo iliundwa polisi tuu
Ila jeshi la ulinzi bado hawana
 
Namba 3, Liechtenstein
baada ya kuona nchi inaingia gharama kubwa kuwa na jeshi wali livunja mnamo mwaka 1968, wametunga sheria ya kulikusanya jeshi kama ikitokea vita au uvamizi , vitu ambavo havijawahi tokea

Hawa hawana hata polisi, wana kikosi kaz chenye silaha ndogo ndogo, na kikos cha upelelezi tuu
Kwa ajili ya kuendeleza amani ya jamii
 
Number 2, Grenada

Toka mwaka 1983, wana tegemea vikundi vya ulinzi vya watu binafsi na kikos cha upelelezi tuu

Wao kwa kuwa wako kwenye umoja wa nchi za amerika, hawategemei kuvamiwa wala kuwa na vita siku yyte, na ikitokea majeshi ya umoja yata wasaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…