Mimi nachek UERO kombe halina mwenyewe
Mech zenu za ku confirm argentna ana chukuaje ubingwa hata staki
Mkuu ukichukua kikos alicho nacho messi na portugal ni mbingu na ardhi yaanMkuu youngblood anamfuatilia King kwa makini kasoro ww
Portugal pia ni tim mbovu.
Timu gani nani yko first elwven
We bro barcelona katolewa robofinal na tim ambayo hata haikubeba ndoomechi za confirm kama Barcelona kuchukua UEFA
Mkuu ukichukua kikos alicho nacho messi na portugal ni mbingu na ardhi yaan
Hmna ubora wwte mkuuFenerbahce kwenyewe yupo sub.
Ila bora yy japo kaibeba Portugal kwa goli kuliko yule
Yule mzur
Yule naniliu
We bro barcelona katolewa robofinal na tim ambayo hata haikubeba ndoo
Labda useme barcelona na laliga
Hmna ubora wwte mkuu
Yaan messi ana zungukwa na watu adim sanaaa pia
Argentina ni tim nzuri kias hata uktoa messi inabaki bora na inaeza kuifunga portugal hata 8 kwa sifuriMimi nimefurah dimaria alivyoumia maana mngesema yy ndio anaibeba Argentina
Sio kirahisi kama unavyofikiriaArgentina ni tim nzuri kias hata uktoa messi inabaki bora na inaeza kuifunga portugal hata 8 kwa sifuri
Hatuwez kupenda tim moja mkuuBarcelona unaichukia sana hebu ipende
Huyo king si angefunga mwenyeweeMTU gani adimu anayemzunguka King
Au yule mpumbav higuain aliyemkosesha King world cup
Hatuwez kupenda tim moja mkuu
Alimuamini sana higuain kumbe akaja jua ni traitorHuyo king si angefunga mwenyewee
Alilikosa kwa ubora wa wapinzan wao
Kweli na kwambia yaan messi ana ongeza kitu kwenye kikos cha argentina ila si kwamba akitoka tim inakufaSio kirahisi kama unavyofikiria
Mi si shabiki wa starsbasi sawa hata ukishabikia Stars mm nitashabikia Egypt
Kweli na kwambia yaan messi ana ongeza kitu kwenye kikos cha argentina ila si kwamba akitoka tim inakufa
Inabaki na ubora vile vilee
Kwan stars inatofaut gani na man uMi si shabiki wa stars
Kwa kweli
ww ni mbishi over