Makapuku Forum

Kutokana na wingi wa watu nchini Qatar ambapo hotel haziwezi kubeba idadi yote, basi kuna makazi maalum ambapo ni vyumba vya makontena, gharama yake kwa usiku mmoja tu ni zaidi ya 500,000 za kitanzania.
 
FACT FILE | Zimesalia siku tisa pekee kuelekea kuanza kwa fainali za kombe la dunia, ifahamike kuwa Qatar linakuwa taifa la tatu kutoka bara ya Asia kuhodhi fainali hizo baada ya Korea Kusini na Japan ambao walishirikiana 2002.
 
๐— ๐—ฎ๐—ป ๐—ผ๐—ณ ๐˜๐—ต๐—ฒ ๐— ๐—ฎ๐˜๐—ฐ๐—ต kwenye kombe la dunia 2010 #FIFAWorldCup:

[emoji471] 16 Boraโ€“ [emoji633] Xavi
[emoji471] Robo fainaliโ€“ [emoji633] Iniesta
[emoji471] Nusu fainaliโ€“ [emoji633] Xavi
[emoji471] Final โ€“ [emoji633] Iniesta

Legendary duo[emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ