Makapuku Forum

**NJE YA MADA KIDOGO**
Kutokana na kuongezeka kwa idadi kubwa ya wagonjwa walio katika hali mbaya kwenye hospitali mbalimbali hapa nchini kutokana na kuugua magonjwa yasiyokuwa na tiba na wao kuendelea kuteseka vitandani huku watu wasijue la kufanya, je, muda umefika kwa tanzania kuwa na utaratibu wa "kuua kwa huruma" kama ambavyo nchi za wazungu zinafanya? naomba maoni yako kwenye mjadala huu:

click here: Should "Mercy killing" be practiced in Tanzania?
 
Then ule msemo wetu maarufu wa mpango wa mungu utakuwepo au
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…