He heWewe vyako unanikopeaga?[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Binamu hivi ni kweli...na hiyo mirinda nyeusi sio kwamba wanakupa take away, ni ile ya chupa, unakunywa pale pale uimalize uwaachie chupa yao.
Huwa nnaenda na chupa tupu ya maji ya uhai, namimina humo biashara imekwisha. Toa damu, Okoa maisha
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba shoppers...
Ndugu yangu humu anayeweza kukupa taarifa zangu sahii ni Shunie na Hadde...
Yule mwingine mwache alivyo.. anapenda sana kunichomea..
Umetisha....na hiyo mirinda nyeusi sio kwamba wanakupa take away, ni ile ya chupa, unakunywa pale pale uimalize uwaachie chupa yao.
Huwa nnaenda na chupa tupu ya maji ya uhai, namimina humo biashara imekwisha. Toa damu, Okoa maisha
Mweeeeh!! 🤣🤣🤣🤣Haha huyo ni wewe kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Binamu hivi ni kweli
[emoji3][emoji3]Mmh we mzee yaani zimechakaaje jamani na ulitakiwa uzitume tu pm
Asante sana we mzee Mungu azidi kukubariki sana sana. [emoji120][emoji120]
Love yuuuuuuu [emoji2] ShunieAsante sana we mzee Mungu azidi kukubariki sana sana. [emoji120][emoji120]
Zima we mzee na madirisha uyafungeMmelala hamjazima taa wala kufunga mapazia
[emoji120][emoji3059]
Asante binamu na kwako piaTuwe na Furahiday njema wadau na wote wenye a 3 days weekend tuendelee kufurahia.
BTW, mwaka wa kiserikali (budgetwise) umeanza leo. Rushwa ni adui wa haki
hhahaha,nachungulia kwanza,chaboZima we mzee na madirisha uyafunge
Ukimaliza kuchungulia chabo nini tena unafanya we mzeehhahaha,nachungulia kwanza,chabo
Asantee binamuTuwe na Furahiday njema wadau na wote wenye a 3 days weekend tuendelee kufurahia.
BTW, mwaka wa kiserikali (budgetwise) umeanza leo. Rushwa ni adui wa haki