Makapuku Forum

Makapuku Forum

FB_IMG_1593048748803.jpg
 
...kuitafuta Furahiday, ndugu yenu nashare nanyi burudani ya muziki wa country la kisasa, sio lile kongwe.

Msikize huyu mdada na nikuulize tu kama ulishaamua kuachana na mtu bila sababu na pamoja na kuachana naye bado unamfurahi, unamkumbukana na kutamani kuona akipata furaha pale alipo. Kuachana kwa nia njema


 
Mjombaaa sina pesaa

...ngoja nikutumie namba ya ole Saniniu Laizer, kadaka bilioni za maneno, aniulize mimi mkulima wa korosho ambaye bado naidai serikali.

Anko nikilipwa tu nakutafuta nimalizie ile hela unayonidai na kama vipi kesho nakuja uniongee ada ya wapwa zako maana shule zimefunguliwa ghafla sana. Utajumlisha tu hakuna shida
 
...ngoja nikutumie namba ya ole Saniniu Laizer, kadaka bilioni za maneno, aniulize mimi mkulima wa korosho ambaye bado naidai serikali.

Anko nikilipwa tu nakutafuta nimalizie ile hela unayonidai na kama vipi kesho nakuja uniongee ada ya wapwa zako maana shule zimefunguliwa ghafla sana. Utajumlisha tu hakuna shida

Mmmmmmh bwana lizer ana watoto 30 plus four wifes ....mjomba kama ni kama koroshooo hapooo nitumiee ya leo tu
 
Back
Top Bottom