i wish kusikia sauti yakoNipe vyote babe wangu hata visivyoonekana [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] si unajua vile unavyonipatia eenh
Nina sauti mbaya mkuu itakukimbiza bora uendelee kunisoma tu hivihivii wish kusikia sauti yako
Ili mradi ni yako itanikonga moyo.Nina sauti mbaya mkuu itakukimbiza bora uendelee kunisoma tu hivihivi
Nipe vyote babe wangu hata visivyoonekana [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] si unajua vile unavyonipatia eenh
Mimi ni wako na wewe ni wangu [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Kiboko yake shunie [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Mashalaaah Rafiki ake MimiWa kwangu mimi apa [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Ankoo Lee ndio Okonkwo binamu, kama ujuavyo ankoo kwenye fursa huwa yupo vizuri sana......bora umeuliza binamu, maana nimekuwa nikisoma Okonkwo oooh Okonkwo nikamuuliza anko Lee kama siku hizi anajiita Okonkwo , akasema hapana hajaanza kujiita hivyo. nikajua tu tayari anko wangu washamuotea na penati wamepewa. Kuna nini tena
We mzee upooo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ili mradi ni yako itanikonga moyo.
Baba wawili huyooAnkoo Lee ndio Okonkwo binamu, kama ujuavyo ankoo kwenye fursa huwa yupo vizuri sana...
Heshima yako binamu..