Ndiwooo utake usitake hii kiboko kabisa
hana huo ujanja
hii ya sasa hivi umetisha mtt mlito
Kweli nakwambia sasa unamtext mtu siku ya tatu leo hajafungua text na huku makapuku anakudanganya kama mtoto si ndio kuachwa kwenyewe baba wawili
Unatabia mbaya, unataka watu wateseke kumbenani anateseka baba wawili kwa kiboko kabisa
usikute mjomba anajibu hizo text kwenye ile namba ya yule Shunny na sio Shunie..
Mjombaa hachelew kumix mafile
Unatabia mbaya, unataka watu wateseke kumbe
Inawezekana baba wawili ujue
Kiboko kabisa ni kama maji baba wawili usipoyanywa utayaoga
hufai wewe, mwisho wa siku hyo ya maji nayo utaiongezea kwenye a.k.a yako
Vibe limeanza mapema leo mtoto mlito
Ni kweli kabsa, maisha ukiyafikilia sana lazima yakupe stress,unapo pata muda wa kufurahi kama hivi kidogo inakutoa kwenye lindi la mawazo na kukufanya ujione mtu mpya hata kama hauna kila kitu unajiona bonge la tajiriBaba wawili maisha ndio hayahaya ujue kuna mda na stress zangu sanaa yaani sana lakini kuna mda acha nifurahi tu ndio imeshakuwa hivi
Je wajua inakujia na shunie shunie kibonge cheusi mangalaaisee
Acha kabisa huwa nasahau kidogo magumu yangu ninayopitiaNi kweli kabsa, maisha ukiyafikilia sana lazima yakupe stress,unapo pata muda wa kufurahi kama hivi kidogo inakutoa kwenye lindi la mawazo na kukufanya ujione mtu mpya hata kama hauna kila kitu unajiona bonge la tajiri