ahahaha nakuruhusuuuu insta babe ntakuwa live kama mzee wa kuamsha dude
Hahhahahhah
Na nilivyo siiwezi sinitakufwa mm
Woyooooo na nitakuwa nakusaidia kukumwagia maji mwenyewe
hahahahah alaaa alaaaaa mtekaji asikukute atatuteka wote kwa hasira dadeki zake maana hafai yule sijui ana asili ya rwanda
Jamani kama ndio nipo kibonge acha nijinenepee tu mm kunywa supu ya kabichi siwezisasa ww endelea kuombea kuwa kibonge akati kunywa supu ya kabichi huwez
Mambo vipi,unaendeleaje Rafiki na ninamiss nn hapo ulipoSawa sawa we mzee
Marhaba Mama mchungaji ,salama RafikiWe mzee shikamoo
Niko poa mm sijui ww mzee unamiss nn etiMambo vipi,unaendeleaje Rafiki na ninamiss nn hapo ulipo
Hahahaha, vzr km uko poa,mie nakumiss wewe tuNiko poa mm sijui ww mzee unamiss nn eti
Jamani kama ndio nipo kibonge acha nijinenepee tu mm kunywa supu ya kabichi siwezi
Eti ana asili ya rwanda
Mtekaji atuteke tu lakini tumeshamaliza yetu
Unanimiss mm wapi huko eti we mzeeHahahaha, vzr km uko poa,mie nakumiss wewe tu
Hahahah kweli insta babe acha ninenepe kama kabati eti nifanye diet hapana jamani kwanza napenda kula tena napenda kula manyama naanzaje kuyaacha
Hahhahah niite nikuchungulie insta babehahahahah... basi muda wa kuoga ukifika takuita insta babe
kwa msisitizo kabisa....unichungulie insta babe daaaaahHahhahah niite nikuchungulie insta babe
kwa msisitizo kabisa....unichungulie insta babe daaaaah
hahahha hakuna la zaidi kwa kweliSasa jee kuna la zaidi insta babe zaidi ya kukuchungulia
Hahahahaha jinga wwhahahha hakuna la zaidi kwa kweli