ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,947
- 13,864
Woyoooo [emoji119]Wozeeeer wozeeeer hatimaye bday boy kaonekana jamani
Woyoooo [emoji119]Wozeeeer wozeeeer hatimaye bday boy kaonekana jamani
Nasubiri jawabu lake.Akikujibu uniite maka akee
Shunie akee kajawabu huku...Cku ile mnashauriana na T kwenda kujiunga nilikuwepo shemela
Nipo ndio naanza kufumbua macho [emoji3] [emoji3] [emoji3]Wozeeeer wozeeeer hatimaye bday boy kaonekana jamani
Asante sana shemela hata mm naishkuru sana jf kwa kutuunganisha pamoja hatujuani lakini ipo siku tu isiyokuwa na jina tutajuana na kukaa pamoja sisi ni familia moja nawapenda jamaniAsante shemela wa mimi, Namshukuru Mungu kwa kuniunganisha na shemela wangu shunie kupitia JF, najivunia sana kuwa na shemela kama wewe aka mama D
My love TumosaHere he is our bday boy
[emoji3][emoji3][emoji3]Woyoooooooooooo mambo ni kizungu tu leo
Hiko kipato kilichoongezeka nipunguzie na mm jamani kwangu kumekauka hali ni mbayaNdio!! Hizo wishes zisipite kavu kavu.. Mie niongezeeni watoto bwana, kipato kimeongezeka na namba ya watoto nayo iongezeke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushaendana na mazingira ya humuWoyoooo [emoji119]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Nikizigida unataka kugundua nini jamani unaweza nikula mie maka akee unajua we ni fisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si huwa anawaona we na T mkiongea na T akisema yeye ameshaleftShunie akee kajawabu huku...
Kwani kishauriana ndio kuwepo shemela!?
Aahh!! Shunie akee nitake radhi bhana.Nikizigida unataka kugundua nini jamani unaweza nikula mie maka akee unajua we ni fisi
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Asante sana shemela hata mm naishkuru sana jf kwa kutuunganisha pamoja hatujuani lakini ipo siku tu isiyokuwa na jina tutajuana na kukaa pamoja sisi ni familia moja nawapenda jamani
Usijali mimi na wewe tena.. Nitakupunguzia shunie akee.Hiko kipato kilichoongezeka nipunguzie na mm jamani kwangu kumekauka hali ni mbaya
Woyooooooo hii nyimbo ikufikie popote ulipo chaguo langu shemela mana binamu haonekani jamani angewekaNipo ndio naanza kufumbua macho [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]
Keki keta jikajapo?Here he is our bday boy
Hata mie nisha-right[emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si huwa anawaona we na T mkiongea na T akisema yeye ameshaleft
Nimeuliza tu mm shemela jamani[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sawa shemela ngoja tukazaneNdio!! Hizo wishes zisipite kavu kavu.. Mie niongezeeni watoto bwana, kipato kimeongezeka na namba ya watoto nayo iongezeke