Makapuku Forum

Napumzika huwa naingia kusoma hadithi tu
...kama uliambiana na Sakayo , jana aliiomba na nikaiweka, nyimbo ya mwaka 74 wewe mtoto wa 89 unaitaka ya nini?
Kumbe sakayo aliiomba tatizo sifukui makaburi binamu halaf me ni muhenga sio mtoto wa 89
 
Kumbe sakayo aliiomba tatizo sifukui makaburi binamu halaf me ni muhenga sio mtoto wa 89

...ha hahahah, ninyi watoto wa siku hizi mmeisoma TOT na Muungano cultural troupe mmeisoma mtandaoni, Sumaku mmemjulia Mizengwe wakati Mandela ya Jangala ndo ilikuwa kila kitu
 
...ha hahahah, ninyi watoto wa siku hizi mmeisoma TOT na Muungano cultural troupe mmeisoma mtandaoni, Sumaku mmemjulia Mizengwe wakati Mandela ya Jangala ndo ilikuwa kila kitu
Hapana binamu Tot na Muungano nakumbuka nipo mtoto nimeenda sana kuangalia michezo yao ya kibisa na mijoka yao woiiii nimetaja hiyo midude huku natetemeka naiogopa mm

Binamu kumbe sumaku alikuwa Mandela ya jangala me najua kaibukia mizengwe tu
 
Hapana binamu Tot na Muungano nakumbuka nipo mtoto nimeenda sana kuangalia michezo yao ya kibisa na mijoka yao woiiii nimetaja hiyo midude huku natetemeka naiogopa mm

Binamu kumbe sumaku alikuwa Mandela ya jangala me najua kaibukia mizengwe tu


...kumbe unayajua na majoka yale basi nimeacha, lol! Unastahili kuingia kwenye kundi la mafundi, ndo maana anko wangu hageuki kila akijidai kujipapatua anarudi, mwanzoni nilidhani ni dawa kumbe roho ndo mwamuzi.

Anko wangu Lyon Lee burudika na hiki kibao

 
Shukrani mtaasisi, leo nimeacha kutafsiri sababu ya weekend [emoji2]

Nyagei
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…