Ahahahhh hiyo Duh ishanikosesha mapound naona kukimbiwa kule mara paap siku ya siku kibonge cheusi hiki hapa mbele ya maka si utanikimbia wewe yaan naona kukimbiwa liveDuh!! Lakin huwezi kukosa mie na wewe tena.
Ahahahhh wizi wako huo wa kunitamanisha mautramuwizi wangu ni nin!?
Njoo tu shunie.
Japan ya morogoro au
Ahahahhh hiyo Duh ishanikosesha mapound naona kukimbiwa kule mara paap siku ya siku kibonge cheusi hiki hapa mbele ya maka si utanikimbia wewe yaan naona kukimbiwa live
Teh teh teh.. sikutamanishi bhana, ila ya nini utamani wakati ulimi unao wa kuonjea shunie!?Ahahahhh wizi wako huo wa kunitamanisha mautramu
.. wacha uwoga shunie kwa wewe siwezi.. tukiacha masihara kando, hakuna kitu ntafurahi kama ikitokea siku tukaonana tu, umekuwa mshikaji mzur kwangu humu, na sio wewe tu pekee wapo kadhaa nataman kufahamiana zaidi..
Si lazima tu duu!! Twaweza kwenda home, bichi na kuchill tu.
He he yangu macho mieTeh teh teh.. sikutamanishi bhana, ila ya nini utamani wakati ulimi unao wa kuonjea shunie!?
Nimecheka sana
Teh teh teh.. ni mnyamwezi, ila trust me siwez kukukimbia shunie, sina tabia hyo bi dada, ukiwa tayari karibu kigamboniSina uwoga nawaza tu kukimbiwa mie na nilivyo na vile hupendi vibonge halaf tena cheusi hivi maka we ni msukuma mana hao nasikia wanapenda sana totoz nyeupe
Aahh.. mie nikajua shunie au mdomo, kumbe macho bhana.He he yangu macho mie
Muandishi atakuwa ni bingwa wa madeni..Nimecheka sana
Ahahhah wasukuma na wanyamwezi same same ndio maana unapenda totoz nyeupe nimepata jibu leoTeh teh teh.. ni mnyamwezi, ila trust me siwez kukukimbia shunie, sina tabia hyo bi dada, ukiwa tayari karibu kigamboni
Halafu niko serious katika hili ujue.
Ahahhaha inaonekanaMuandishi atakuwa ni bingwa wa madeni..
Macho bhanaAahh.. mie nikajua shunie au mdomo, kumbe macho bhana.
Kwendraa huko, mbona nimeruka na vyeusi mangala kibao!!Ahahhah wasukuma na wanyamwezi same same ndio maana unapenda totoz nyeupe nimepata jibu leo
Haya bhana.Macho bhana
Kasahau pia ukidaiwa lazima uwe mbunifu na msanii pia, freestyle za uwongo lazima zije hata kama hujui kushusha mistari.Ahahhaha inaonekana