makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,783
- 103,757
Nipo kwa room, nimejituliza na mupenzi wangu bed.Uko wapi kwanza chief mwee![]()
![]()
![]()
![]()
Nipo kwa room, nimejituliza na mupenzi wangu bed.Uko wapi kwanza chief mwee![]()
![]()
![]()
![]()
WooooooooooozaaaaaaaaaPipi na maganda utamu hamna, halafu kuupata utamu wenyewe tabu, unaweza ukamung'unya mpaka basi mwishowe ukachubuka tu..
Ila ukiila bila maganda utamu kedekede, wala huchelewi kufika kileleni na kumkuta mwana si wako.
Nimetoa mfano anakuja wa kike kingine halaf shemela nimekumbuka jana nilikukuta jukwaa la ujasiriamali kwenye uzi wa forex ulimuongelea ndugu yako sijui alitapeliwa mill 20 na D9unasema anasema anaziona kwenye wallet nilicheka kama mazuri jaman nilishindwa tu kuuliza kwenye uzi wa watu anazionaje sasa
Na mito yako ikiwa inakuzungukaNipo kwa room, nimejituliza na mupenzi wangu bed.
Wee lazima utofautianeeeKachukue pipi ubugie na miganda yake, kisha imenye halaf uje unipe jibu
Sawa lete vitu basiNimerudii
Shushia na H2OKho kho kho
Shemela shululu aliongelea D9![]()
![]()
![]()
![]()
Tufumbuane macho jamani, maana nataka nijitose kwenye forex na mie
Akheri yenu..me na lee wangu tukisalimiana nyumbani tunaendelea tu humu na mambo mengine ujue
Nilijua umelalaSawa lete vitu basi
Ukujeeee
Wewe lete vitu hata kama nimelala nitasoma asubuhiNilijua umelala
WoyooooooooooooPiga kelele..![]()
![]()
![]()
Apo mwisho ndo umeongea pointPipi na maganda utamu hamna, halafu kuupata utamu wenyewe tabu, unaweza ukamung'unya mpaka basi mwishowe ukachubuka tu..
Ila ukiila bila maganda utamu kedekede, wala huchelewi kufika kileleni na kumkuta mwana si wako.
KufanyajeeNimerudii
Nipo apaUkujeeee