Emojiiii zanguuu jamaaaanii
Akya kya kya kya kya kya kya kya kyaBaba D juzi niliwekewa hawa watoto nikaambiwa ndio wakina jj eti
Umeongea mengi ya moyonii ebuu waacheeMama naona likes zako ebu mama mwambie shululu kuhusu me na mkweo Leenakupenda mama yangu anajua me na Lee eti mapenzi yetu ya jukwaani kama wao eti hajui kama me na Lee tunaishi wote
Sifungui shem wane sijui ana mpango gani na pm yangu shemela shululu yeye ana picha zipitie kwa kwa pm ya baba d nitazipata tuUsifungue hata kwa dawa
Ndio nini tena bus lako au unasafiri au vipiii picha na maelezo shem
Akya kya kya kya kya kya kya kya kya
Hii midolii si midolii make watoto gani wanakua kwa kurudi nyuma kama miaka kabla ya kuzaliwa kristo ...
Dunia ina mengii
Sifungui shem wane sijui ana mpango gani na pm yangu shemela shululu yeye ana picha zipitie kwa kwa pm ya baba d nitazipata tu
Umeongea mengi ya moyonii ebuu waachee
Yuko ubungo anaenda domNdio nini tena bus lako au unasafiri au vipiii picha na maelezo shem
Aweke na maelezo sasaYuko ubungo anaenda dom
Mama inaonekana hataki mchezo na kiumbe...wabongo wanasema amejipanga
Haaaaahaaaa hizi movie hizi aiseeshululu huyo mchokozi baba d me simjibu tena
Sawa sawa ebu tuache tu na movie yetu ukweli tunaujua wenyewe ujueHaaaaahaaaa hizi movie hizi aisee
Mama kaamuaMama inaonekana hataki mchezo na kiumbe...wabongo wanasema amejipanga
Shemela buanaSawa sawa ebu tuache tu na movie yetu ukweli tunaujua wenyewe ujue
Sema akii ya obe ...Mama kaamuaalipo mama nipo nyuma yake
Ndio hivyo shemela kila mtu ukweli anaujua yeye na bongo movie yake anayoicheza ila me naishkuru kapuku kwa kunipa baba d wanguShemela buana
Husna hawezi kuwa na wakati mgumu baba d ujue sababu anajua mama na binamu obe wametoka wapiii mpaka leo wapo woteSema akii ya obe ...
Sasa husna mbona mnampa wakati mgumu