shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Asante jagood, nawe pia siku njemaShulululu popote ulipo asante kwa dondoo za magazeti nikutakie siku njema!
Asante jagood, nawe pia siku njemaShulululu popote ulipo asante kwa dondoo za magazeti nikutakie siku njema!
Asante shemela kwa magazeti umeamkaje lakiniSina la ziada kutoka magazetini Tukutane tena kesho
Nawatakieni siku njema
Woyoooooooooo kesho hiyo
Naipenda simba mshabiki wa damu
Amen[emoji524] Katika kinywa cha mpumbavu mna fimbo ya kiburi, bali midomo ya wenye hekima huwaifadhi [emoji524]
MITHALI 14:3
NAWASALIMU KATIKA JINA LA BWANA YESU KRISTO LIPITALO MAJINA YOTE [emoji120] [emoji524] MBARIKIWE SANA MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA KWENU
Asante kwa kuyapitia shemela, niko poa kabisa shemela wa mimiAsante shemela kwa magazeti umeamkaje lakini
Babu shikamoo
Namshkuru Mungu sana shemela tupo salama kabisaAsante kwa kuyapitia shemela, niko poa kabisa shemela wa mimi
Vip wewe na Familia yako kwa ujumla
Marhabaa.... Hujambo mjukuu wangu.Babu shikamoo
Asante hii ya nini shemela jamaanAsante shemela
Sijambo babuMarhabaa.... Hujambo mjukuu wangu.
Nafurahi mjukuu wangu kama uko vizuriSijambo babu
Nipo vizuri sana Mungu ni mwaminifu sana kwangu babu ananipenda na anazidi kunipigania watu wote watakutenga lakini sio Mungu hawezi kukuacha hata siku na ukimtegemea kwa nguvu zote na kwa akili zako zote [emoji120]Nafurahi mjukuu wangu kama uko vizuri
Sawa kabisaNipo vizuri sana Mungu ni mwaminifu sana kwangu babu ananipenda na anazidi kunipigania watu wote watakutenga lakini sio Mungu hawezi kukuacha hata siku na ukimtegemea kwa nguvu zote na kwa akili zako zote [emoji120]
Asante kwa magazeti ankali ake!TUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO kwa udhamini mnono wa Ankali JJ