1/ je wajua mpira mkubwa zaidi uliotengenezwa kwa kutumia rubber band?
Achana na mipira hii ya kawaida tuliowahi kuiona, Joel Waul raia wa United States of America hapa akionekana na mpira alioutengeneza uliovunja rekodi za dunia
Alitumia zaidi ya rubber band 700,000
Mpira huu una uzito wa 4,097 kg (9,032 pounds) ulipimwa huko Launder hill, November 13,2008
Wakati anavunja rekodi hii Joel alikua na umri wa miaka 27
2/ pata kufaham maajabu ya dunia nami niko hapa kukujuza zaidi, je wamjua mbwa mwenye masikio marefu zaidi duniani
Anaitwa Tigger bloodhound masikio yake yana urefu wa 34.92 cm (13.75 inches) masikio yote mawili kulia na kushoto
Mbwa buyu alikua akimilikiwa na Bw. Bryan pamoja na mkewe Bi. Christina wa huko St Joseph, III
Kwa bahati mbaya mbwa huyu alifariki mwaka 2009 baada ya kuingia rasmi kwenye kitabu maarufu cha orodha duniani "Guiness Book of Records" 29 September 2004
Eneo la mzunguko wa pizza hii ulikua na ukubwa upatao 1,261.65 square meters sawa na (13,580.28 square feets) iliyoandaliwa na Dovillo Nardi, Andrea Mannocchi, Marco Nardi, Mattlo Nardi, na Matteo Giannotte (wote wakiwa wanatokea Italy) sehem inaitwa Fiera Roma huko Rome, Italy
Pizza hii ilioewa jina la "Ottavia" likiwa na maana ya "watoto wa kiume saba"
Pizza hii pia, iliingia rasmi Guinness Book of Records 13 December 2012