Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
kwa taarifa ni kwamba mmiliki wa nyumba ambayo inatumika kama makao makuu ya chama cha UDP alishindwa kulipa deni na kupelekea nyumba hiyo kupigwa mnada.sijapata uhakika kwamba mnada huo ulijumuisha mali za UDP au la.
pia nilitegemea UDP ya bwana mapesa ingeweza kununua nyumba hiyo lakini hilo halikutokea.
hivi cheyo alipokuwa anaahidi kuwajaza watu mapesa alimaanisha nini hasa?
hali ya kifedha katika vyama vyetu vya siasa hasa upande wa upinzani zinatia mashaka sana.
pia nilitegemea UDP ya bwana mapesa ingeweza kununua nyumba hiyo lakini hilo halikutokea.
hivi cheyo alipokuwa anaahidi kuwajaza watu mapesa alimaanisha nini hasa?
hali ya kifedha katika vyama vyetu vya siasa hasa upande wa upinzani zinatia mashaka sana.