Makanisa yangeruhusu tukawa tunasali kanisa lolote

Makanisa yangeruhusu tukawa tunasali kanisa lolote

jamaikatz

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2023
Posts
369
Reaction score
1,252
Makanisa yangekuwa na utaratibu kama wa misikiti ingekuwa poa sana

Unaingia kanisa lolote lililopo karibu yako

Unakula zako neno unasepa bila kuambiwa ujitambulishe, kuulizwa umetokea wapi au una sali wapi ??

Itatusaidia kufocus na Mungu badala ya kufatiliana kibinafsi 🤔
 
Aliyepanga muislam afanye Ibada katika msikiti wowote sio mashekhe wa msikiti ila ni Mungu
 
Nime-attend ibada KKKT nikiwa mgeni mboni sikuwahi kusimamishwa nijitambulishe?Catholic sijawahi kusikia siku amesimamishwa muumini kwamba ni mgeni ajitambulishe.

Hizi ni shida zenu nyie wa kwenye mabanda ya mabati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom