Makanisa ya kiroho mnatupeleka wapi?

Makanisa ya kiroho mnatupeleka wapi?

Mrs Official

Member
Joined
Apr 13, 2018
Posts
28
Reaction score
51
Umetoka nyumbani unaamua kuingia kanisani japo kupunguza stress za ugumu wa maisha na matatizo mbalimbali lakini humo kanisani unakutana na michango isiyoisha tena kwa lazima.
Nijuavyo mimi sadaka ni kile ambacho mtu amejaaliwa kukipata
Sasa eti kuna makanisa mpaka wameweka viwango sadaka isiwe chini ya kiasi flani, bado shukrani, bado fungu la 10, bado sadaka ya utumishi, bado sadaka ya madhabahu, bado sadaka ya malimbuko sijui nini. !
Mbaya zaidi kila mahubiri ni kusisitiza utoaji sadaka na michango tu.
Sio siri makanisa yetu mnakatisha tamaa kabisa ukute mtu ni mama wa nyumbani atapataje pesa yote hiyo kama sio mwanzo wa kugombana na mmewe.
Mungu atusaidie.
 
Umetoka nyumbani unaamua kuingia kanisani japo kupunguza stress za ugumu wa maisha na matatizo mbalimbali lakini humo kanisani unakutana na michango isiyoisha tena kwa lazima.
Nijuavyo mimi sadaka ni kile ambacho mtu amejaaliwa kukipata
Sasa eti kuna makanisa mpaka wameweka viwango sadaka isiwe chini ya kiasi flani, bado shukrani, bado fungu la 10, bado sadaka ya utumishi, bado sadaka ya madhabahu, bado sadaka ya malimbuko sijui nini. !
Mbaya zaidi kila mahubiri ni kusisitiza utoaji sadaka na michango tu.
Sio siri makanisa yetu mnakatisha tamaa kabisa ukute mtu ni mama wa nyumbani atapataje pesa yote hiyo kama sio mwanzo wa kugombana na mmewe.
Mungu atusaidie.
Achana na makanisa uchwara ambayo mengi ni miradi ya watu
 
Umetoka nyumbani unaamua kuingia kanisani japo kupunguza stress za ugumu wa maisha na matatizo mbalimbali lakini humo kanisani unakutana na michango isiyoisha tena kwa lazima.
Nijuavyo mimi sadaka ni kile ambacho mtu amejaaliwa kukipata
Sasa eti kuna makanisa mpaka wameweka viwango sadaka isiwe chini ya kiasi flani, bado shukrani, bado fungu la 10, bado sadaka ya utumishi, bado sadaka ya madhabahu, bado sadaka ya malimbuko sijui nini. !
Mbaya zaidi kila mahubiri ni kusisitiza utoaji sadaka na michango tu.
Sio siri makanisa yetu mnakatisha tamaa kabisa ukute mtu ni mama wa nyumbani atapataje pesa yote hiyo kama sio mwanzo wa kugombana na mmewe.
Mungu atusaidie.
Mimi nilishaachana na hizo habari kitambo sana tu.

Sadaka nitatoa mwenyewe kwa jambo ninaloona mwenyewe linafaa.

Nilikuwa nasikiliza BBC World Service kama kawaida yangu, wakawa wanaongelea habari mpya nilikuwa sijawahi kuisikia.

Kawaida huwa kuna watu wanapenda kuwa dominated katika mahusiano, wanapenda kuna na ma "dominatrix", usually it is about the use of force and humiliation.

Sasa siku hizi kuna mpaka ma "financial dominatrix", kwa mfano mwanamke ana m control mwanamme anam dominate mpaka kwenye mambo ya fedha, mwanamme anampa pesa zake zote mwanamke (wengine mtasema mganga wake mzuri huyo mwanamke, lakini hamna uganga hapo)

Ulivyosema hiyo habari, nikakumbuka hawa "dominatrix", hao Wachungaji nao wanaweza kuwa katika kundi moja na ma"financial dominatrix".

The Wwashington Post did an article on this.

- The Washington Post

Meet the dominatrixes who control men where it really hurts: Their wallets

In a pastel-colored French patisserie in Beverly Hills, Mistress Harley sips on a Bellini topped with raspberries and scrolls through surveillance monitors on her Android. “Oh, look, there’s Ben!” she says, tapping on the screen with her long magenta nails. “He’s naked.”

Speaking into the microphone on the app Nest, which is usually used for things like home security and pet monitoring, Mistress Harley instructs the man to kneel on the floor and bow down to her. He obeys. “You can see that I’ve made him sell all his stuff and even his bed, so he sleeps on the floor,” Mistress Harley explains. “He lives in Sacramento. I’ve actually been considering buying a house in Sacramento and making him rent it from me.”

Mistress Harley — who, like many in this article, refuses to reveal her legal name citing privacy and safety concerns — isn’t forcing Ben to do anything he doesn’t want to do. He is paying her a weekly salary to monitor him throughout the day. Sometimes she likes to cackle at him in the middle of the night via speakers installed in his bedroom. Other times, she’ll demand that he eat only meals that resemble dog food and send her photos as proof.

Read more here - - The Washington Post
 
Sadaka Ni Ibada. Kuna Aina Kadhaa Za Sadaka, Sadaka Ya Hiari, Sadaka Ya Shukrani Na Fungu La Kumi/ Zaka. Halafu Kuna Malimbuko. Sadaka Hizi Hutolewa Kwa Imani. Kama Huna Imani Huwezi Kutoa. Utoaji Ni Moyo, Hata Kama Unacho Kidogo Kama Una Moyo Wa Utoaji Na Imani Unatoa Tu. By The Way Utoaji Si Pekee Kwa Makanisa Ya Kiroho Tu Hata Hayo Makanisa Mengine Nayo Waumini Wake Hutoa, Tena Wana Visanduku Vya Kuweka Bahasha Zenye Fedha Na Vina Namba Kabisa. Ni Rahisi Kumtambua Muumini Ambaye Si Mtoaji Na Rekodi Zake Za Utoaji Zaka Zinawekwa. Akipata Shida Itakoyohusu Msaada Wa Kanisa Rekodi Zake Za Utoaji Zitaangaliwa Kwanza Ndiyo Msaada Utolewe Kwa Kiwango Kinachostahili. Kama Si Mtoaji Unaweza Ukasusiwa Shughuli Zako Ufanye Mwenyewe. Utoaji Ndiyo Ushirika Wenyewe. Utoaji Uko Kila Kanisa Mpaka Jumuiya Zake Za Mitaani. Utoaji Ni Imani Kama Huna Imani Ni Ngumu Kutoa. Unaamini Nini Katika Kutoa ? Labda Hoja Ingekuwa Kutoa Ni Fedha Pekee Tu ? Kwa Nini Iwe Fedha Pekee Tu ? Sifa Kuu Ya Mshirika/muumini Ni Utoaji Sadaka.
 
Unakuta mchungaji ana miradi mikubwa kabisa na ana magari ya kutembelea yenye bei mbaya huku analazimisha hizo michango kumkamua masikini ambaye hata uhakika wa mlo wake kwa siku ni mashaka
Ananunua mafuta ya alizeti mengi, anapaki kwenye vichupa vidogo vidogo, anaenda kuuza eti mafuta ya upako, ila kuna wapotoshaji wengi sana
 
Umetoka nyumbani unaamua kuingia kanisani japo kupunguza stress za ugumu wa maisha na matatizo mbalimbali lakini humo kanisani unakutana na michango isiyoisha tena kwa lazima.
Nijuavyo mimi sadaka ni kile ambacho mtu amejaaliwa kukipata
Sasa eti kuna makanisa mpaka wameweka viwango sadaka isiwe chini ya kiasi flani, bado shukrani, bado fungu la 10, bado sadaka ya utumishi, bado sadaka ya madhabahu, bado sadaka ya malimbuko sijui nini. !
Mbaya zaidi kila mahubiri ni kusisitiza utoaji sadaka na michango tu.
Sio siri makanisa yetu mnakatisha tamaa kabisa ukute mtu ni mama wa nyumbani atapataje pesa yote hiyo kama sio mwanzo wa kugombana na mmewe.
Mungu atusaidie.
Omba Mungu uamini neno lake
 
Ukitoka hapo unasema kanisa katoliki wezi wakati ukiumwa unaenda kutibiwa kwenye hospital zao
KWANI TUNATIBIWA BURE? KWANI SHULE ZAO TUNASOMA BURE? KWA TAARIFA YAKO VITEGA UCHUMI VYAO TUNAJENGA SISI THEN TUNALIPISHWA SISI TENA KWA BEI KUBWA ZAIDI BILA KUJALI MICHANGO YETU. TUMIA KICHWA CHAKO VZURI KUFIKIRI
 
Kanisani sio sehemu ya kupunguzia stress zako, kanisa ni nyumba ya ibada ya kusifu na kuabudu, kanisa ni nyumba ya sala.
"Nitawaleta hao nao hata mlima wangu mtakatifu na kuwafurahisha katika nyumba yangu ya sala, makafara yao na dhabihu zao zitakubaliwa juu ya madhabahu zangu, kwa maana nyumba yangu itaitwa NYUMBA YA SALA kwa mataifa yote". Isaya 56:07

Sadaka ni sehemu ya ibada, na si sehemu tu ni sehemu kubwa sana ya ibada. Sadaka ni sehemu kubwa ya imani na ndiyo maana tunaambiwa tutoe kwa imani, yaani kutoa vile moyo wako unakutuma kutoa. Sadaka zina mgawanyiko wake ndiyo kama hizo kuna ya fungu la kumi, kuna ya shukrani, kuna ya madhabahu n.k
Kama unaona ukitoa unapoteza au unawanufaisha wachungaji na familia zao ni heri usitoe kabisa!
 
Sadaka Ni Ibada. Kuna Aina Kadhaa Za Sadaka, Sadaka Ya Hiari, Sadaka Ya Shukrani Na Fungu La Kumi/ Zaka. Halafu Kuna Malimbuko. Sadaka Hizi Hutolewa Kwa Imani. Kama Huna Imani Huwezi Kutoa. Utoaji Ni Moyo, Hata Kama Unacho Kidogo Kama Una Moyo Wa Utoaji Na Imani Unatoa Tu. By The Way Utoaji Si Pekee Kwa Makanisa Ya Kiroho Tu Hata Hayo Makanisa Mengine Nayo Waumini Wake Hutoa, Tena Wana Visanduku Vya Kuweka Bahasha Zenye Fedha Na Vina Namba Kabisa. Ni Rahisi Kumtambua Muumini Ambaye Si Mtoaji Na Rekodi Zake Za Utoaji Zaka Zinawekwa. Akipata Shida Itakoyohusu Msaada Wa Kanisa Rekodi Zake Za Utoaji Zitaangaliwa Kwanza Ndiyo Msaada Utolewe Kwa Kiwango Kinachostahili. Kama Si Mtoaji Unaweza Ukasusiwa Shughuli Zako Ufanye Mwenyewe. Utoaji Ndiyo Ushirika Wenyewe. Utoaji Uko Kila Kanisa Mpaka Jumuiya Zake Za Mitaani. Utoaji Ni Imani Kama Huna Imani Ni Ngumu Kutoa. Unaamini Nini Katika Kutoa ? Labda Hoja Ingekuwa Kutoa Ni Fedha Pekee Tu ? Kwa Nini Iwe Fedha Pekee Tu ? Sifa Kuu Ya Mshirika/muumini Ni Utoaji Sadaka.
Kwahiyo ndo tupangiane kiwango cha kutoa!!!? Umejaribu kukwepakwepa lkn ukweli ni kuwa sadaka inayozungumziwa hapa ni pesa tu na siyo kila muumini ana uwezo wa kutoa "sadaka pesa" kwa kiwango kile kilichopangwa, kwahiyo huyo naye asusiwe shughuri zake kisa siyo mtoaji!!!? Ile amri kuu ya Upendo tuliyoagizwa iko wapi!!? Wakristo wa siku hizi tumekuwa kama misukule.
 
Umetoka nyumbani unaamua kuingia kanisani japo kupunguza stress za ugumu wa maisha na matatizo mbalimbali lakini humo kanisani unakutana na michango isiyoisha tena kwa lazima.
Nijuavyo mimi sadaka ni kile ambacho mtu amejaaliwa kukipata
Sasa eti kuna makanisa mpaka wameweka viwango sadaka isiwe chini ya kiasi flani, bado shukrani, bado fungu la 10, bado sadaka ya utumishi, bado sadaka ya madhabahu, bado sadaka ya malimbuko sijui nini. !
Mbaya zaidi kila mahubiri ni kusisitiza utoaji sadaka na michango tu.
Sio siri makanisa yetu mnakatisha tamaa kabisa ukute mtu ni mama wa nyumbani atapataje pesa yote hiyo kama sio mwanzo wa kugombana na mmewe.
Mungu atusaidie.

Wala sichangagi kabisaa nayakutaka mabahasha kibao wamewapa wadada wanafatiliaa mpaka wanachokaa
 
Back
Top Bottom