Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 11,250
- 24,081
Haya makanisa kwanza yapo kibiashara zaidi.
Nikweli makanisa yote yapi kibiashara lakini ya kilokole yapo kibiashara nje nje bila kufichwa utaambiwa live.
Hii ni mifano michache tu
•Kumuona mchungaji,Mtume au nabii Hela.
•Kuombewa hela
•Utauziwa maji,sabuni,mchanga,vitambaa, mafuta nk.
Kitu kinachotukela hata sisi ambao hatuyasali haya makanisa yenu yana KELELE KUBWA MNO.
MFano Leo sijalala tangu nitoke kazini maana makelele yanapigwa hapa sijawahi kuyasikia popote. Sio miruzi sio watu wanaolia nk hadi imenibidi nisitishe tu kulala kwanza
Siyo kwamba hatuwapendi walokole lakini mnageuka KERO kubwa sana.
Hapa nipo jirani kabisa na kanisa la wasabato kama mita 400 kutoka kwangu lakini Jana nimelala vizuri tu hakuna KERO niliyopata ....pamoja na kwamba walikuwa na sabato sijui ya wageni lakini hapa kuwa na makelele hivi.
Hii imetufanya tujiulize maswali mengi wanao sali haya makanisa ni wavuta bangi au ni matahira hadi mpige miruzi na ukunga makanisani?
Huwa nashangaa sana Kumuona mwanaume na family yake kaongoza njia kwenda kwenye makanisa haya si kwamba tunapangiana lakini Yana uwalakini sana.
Hayachagui mivao utakavyokuja ndivyo watakavyokupokea ili mradi una uhakika wakutoa sadaka tu
Kanisa la masanja mkandamizaji yeye alisema hata ukienda nguo namna Gani ni sawa tu Mungu anaangalia moyo na siyo mavazi yake.
Hii ilitokea ni baadhi ya viongozi wa kanisa lake kuvaa nguo zinazo onyesha hadi maungo Yao.
Makanisa haya hapana asee
PICHA UBATIZO UKIENDELEA KWENYE MOJA YA MAKANISA YA KILOKOLE.
Nikweli makanisa yote yapi kibiashara lakini ya kilokole yapo kibiashara nje nje bila kufichwa utaambiwa live.
Hii ni mifano michache tu
•Kumuona mchungaji,Mtume au nabii Hela.
•Kuombewa hela
•Utauziwa maji,sabuni,mchanga,vitambaa, mafuta nk.
Kitu kinachotukela hata sisi ambao hatuyasali haya makanisa yenu yana KELELE KUBWA MNO.
MFano Leo sijalala tangu nitoke kazini maana makelele yanapigwa hapa sijawahi kuyasikia popote. Sio miruzi sio watu wanaolia nk hadi imenibidi nisitishe tu kulala kwanza
Siyo kwamba hatuwapendi walokole lakini mnageuka KERO kubwa sana.
Hapa nipo jirani kabisa na kanisa la wasabato kama mita 400 kutoka kwangu lakini Jana nimelala vizuri tu hakuna KERO niliyopata ....pamoja na kwamba walikuwa na sabato sijui ya wageni lakini hapa kuwa na makelele hivi.
Hii imetufanya tujiulize maswali mengi wanao sali haya makanisa ni wavuta bangi au ni matahira hadi mpige miruzi na ukunga makanisani?
Huwa nashangaa sana Kumuona mwanaume na family yake kaongoza njia kwenda kwenye makanisa haya si kwamba tunapangiana lakini Yana uwalakini sana.
Hayachagui mivao utakavyokuja ndivyo watakavyokupokea ili mradi una uhakika wakutoa sadaka tu
Kanisa la masanja mkandamizaji yeye alisema hata ukienda nguo namna Gani ni sawa tu Mungu anaangalia moyo na siyo mavazi yake.
Hii ilitokea ni baadhi ya viongozi wa kanisa lake kuvaa nguo zinazo onyesha hadi maungo Yao.
Makanisa haya hapana asee
PICHA UBATIZO UKIENDELEA KWENYE MOJA YA MAKANISA YA KILOKOLE.