Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,721
- 21,778
Hili naona sasa limekuwa ni ukosefu wa adabu ama maadili katika jamii..jamani zamani mimi nijuavyo ni mafuruku kufungisha ndoa zikiwa na mimba ndani yake...nakumbuka kuna siku mchunganji mmoja wa lutherano mwaka jana alikataa kufungisha ndoa ya mtoto wa aliekuwa askofu mkuu mmoja moshi uko akisema kama mtaniruhusu kubariki nitabariki ndoa yenu lakini hivi mkiwa na mimba sifungishi ndoa...hakika kuliwaka moto lakini jambo ambalo sikuamini ile ndoa ilichelewa na akaja mchungaji mmoja akafungish na yeye akiwa anaona aibu akaamua kupasua adharani kama si heshima ya askofu babako kwa kweli tuingefungisha hii ndoa
sasa hivi jambo hili limekuwa ni aibu kila makanisa sasa yamekuwa yakifungisha ndoa zikiwa na mimba ndani yake....majuzi nilihudhuria harusi moja pale st joseph kati ya harusi tano tatu wanawake walikuwa wamevimba matumbo yao kama wako theartre wanasubiri kupasuliwa ilikuwa jambo la aibu sana lakini hatimae ilifungishwa huku mapadre wakipiga makelel ya kutorudia tena watu wengine...bado najiuliza hawa watu huwa wanahonga ndoa kufungishwa hivi ama wanawafanya upofu hawa watumishi wa MUNGU....nafikiri makanisa yanaitaji kuwa mstari wa mbele kukemea na kutaa hali hizi.....wazazi imefika wakati wa kuheshimu ndoa takatifu msiwaruhusu vijana zenu kujazana matumbo na kuwatia aibu mbele ya madhabahu....imagine majana nimeenda shuguli moja nikakuta jamaa anaonyesha zile picha za mwanamke za zamani he gafla anamwonyesha yule mwanamke akiwa na bwanaharusi mtarajiwa wamekumbatiana wanalishana sasa nkajiuliza kama mmeshamaliza kila kitu tumeiwa kufanaynini???/
Kazi kwenu mnaotarajia kuoa kuna starehe ukiwa na mtoto ndani ya ndoa...
sasa hivi jambo hili limekuwa ni aibu kila makanisa sasa yamekuwa yakifungisha ndoa zikiwa na mimba ndani yake....majuzi nilihudhuria harusi moja pale st joseph kati ya harusi tano tatu wanawake walikuwa wamevimba matumbo yao kama wako theartre wanasubiri kupasuliwa ilikuwa jambo la aibu sana lakini hatimae ilifungishwa huku mapadre wakipiga makelel ya kutorudia tena watu wengine...bado najiuliza hawa watu huwa wanahonga ndoa kufungishwa hivi ama wanawafanya upofu hawa watumishi wa MUNGU....nafikiri makanisa yanaitaji kuwa mstari wa mbele kukemea na kutaa hali hizi.....wazazi imefika wakati wa kuheshimu ndoa takatifu msiwaruhusu vijana zenu kujazana matumbo na kuwatia aibu mbele ya madhabahu....imagine majana nimeenda shuguli moja nikakuta jamaa anaonyesha zile picha za mwanamke za zamani he gafla anamwonyesha yule mwanamke akiwa na bwanaharusi mtarajiwa wamekumbatiana wanalishana sasa nkajiuliza kama mmeshamaliza kila kitu tumeiwa kufanaynini???/
Kazi kwenu mnaotarajia kuoa kuna starehe ukiwa na mtoto ndani ya ndoa...