Nchimbi, hizi ni kauli za kitoto, kitotot na kinafiki kabisa.
Hakuna cha kuomba hapa, ni nyinyi mliojivika madaraka kuacha kutenda maovu!
Mfano, kulikuwa na sababu gani polisi kuwapiga Bawacha? Umekemea? Kwanini mnamuweka Lisu gerezani bila sababu? Halafu unasema kuomba!
Hakuna cha kuomba hapa, ni nyinyi mliojivika madaraka kuacha kutenda maovu!
Mfano, kulikuwa na sababu gani polisi kuwapiga Bawacha? Umekemea? Kwanini mnamuweka Lisu gerezani bila sababu? Halafu unasema kuomba!