Its Tesha
Senior Member
- Oct 6, 2025
- 168
- 604
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakitoa heshima za Mwisho kwa Mwili wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya marehemu Raila Amolo Odinga katika Uwanja wa Nyayo, Jijini Nairobi leo Oktoba 17, 2025.