Makamu wa Rais kweli umeshindwa kutambua uwepo wa Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa?

kanali mstaafu

JF-Expert Member
May 17, 2015
4,318
4,089
Kwanza nawapa pole wananchi wa Arusha na Tanzania kwa ujumla.pili nawapongeza viongozi wa serikali,vyama,dini na taasisi binafsi kwa kuungana na watanzania katika maombolezo haya. Suala la msingi ambalo mpaka sasa linanishangaza ni kwanini Makamu wa Rais ameshindwa kutambua uwepo wa waziri mkuu mstaafu mh.Edward Lowassa hata kama walioandaa ile itifaki hawakumuweka kwny list??...inabidi chuki tuweke pembeni kwenye masuala yanayotuunganisha kama taifa hasa tunapoomboleza kwenye msiba huu wa kitaifa.
 
Ni Waziri Mstaafu tayari sio lazima kuwekwa kwenye Itifaki ya watoa salamu labda kwa utashi wa Makamu wa Rais bali ilitakiwa kutamkwa na kutambuliwa kuwa yupo,tatizo ni kutokupewa kwa nafasi kwa Mayor na Mbunge wa Arusha ambao itifaki inatakiwa kuwatambua.
 
Msiba huu umetuonyesha kwamba jamii yetu inafocus sana kwenye utukufu wa ukubwa kuliko kutatua matatizo yanayoua wananchi.

Nilitegemea kuwe na mjadala mkubwa sana kuhusu chanzo cha ajali ni nini na tutapunguzaje ajali.

Badala yake naona mijadala mingi sana ya kwa nini Magufuli hajaenda msibani, kwa nini Lowassa kashangiliwa sana msibani, kwa nini Lema hajaalikwa kutoa hotuba, kwa nini Gambo kamkaidi Makamu wa rais kumualika Lema, kwa nini Makamu wa Rais hajatambua uwepo wa Waziri Mkuu Mstaafu ? etc.

Tunaacha mambo ya msingi, tunachukua ya kijinga.
 
Kwanza nawapa pole wananchi wa Arusha na Tanzania kwa ujumla.pili nawapongeza viongozi wa serikali,vyama,dini na taasisi binafsi kwa kuungana na watanzania katika maombolezo haya. Suala la msingi ambalo mpaka sasa linanishangaza ni kwanini Makamu wa Rais ameshindwa kutambua uwepo wa waziri mkuu mstaafu mh.Edward Lowassa hata kama walioandaa ile itifaki hawakumuweka kwny list??...inabidi chuki tuweke pembeni kwenye masuala yanayotuunganisha kama taifa hasa tunapoomboleza kwenye msiba huu wa kitaifa.

Kina Lema na Meya wana hoja za msingi lakini hili la Lowassa si hoja. Lowassa hakustaafu Uwaziri Mkuu.
 
Kwanza nawapa pole wananchi wa Arusha na Tanzania kwa ujumla.pili nawapongeza viongozi wa serikali,vyama,dini na taasisi binafsi kwa kuungana na watanzania katika maombolezo haya. Suala la msingi ambalo mpaka sasa linanishangaza ni kwanini Makamu wa Rais ameshindwa kutambua uwepo wa waziri mkuu mstaafu mh.Edward Lowassa hata kama walioandaa ile itifaki hawakumuweka kwny list??...inabidi chuki tuweke pembeni kwenye masuala yanayotuunganisha kama taifa hasa tunapoomboleza kwenye msiba huu wa kitaifa.

shuguli ilisimamiwa na serikali na ndo maana ilisimamiwa na jwtz. Hakuna siasa pale, ndio maana waliopewa kuzungumza ni viongozi wa serikali na viongozi wakuu wa chama tu ikatoshaa
 
Kwanza nawapa pole wananchi wa Arusha na Tanzania kwa ujumla.pili nawapongeza viongozi wa serikali,vyama,dini na taasisi binafsi kwa kuungana na watanzania katika maombolezo haya. Suala la msingi ambalo mpaka sasa linanishangaza ni kwanini Makamu wa Rais ameshindwa kutambua uwepo wa waziri mkuu mstaafu mh.Edward Lowassa hata kama walioandaa ile itifaki hawakumuweka kwny list??...inabidi chuki tuweke pembeni kwenye masuala yanayotuunganisha kama taifa hasa tunapoomboleza kwenye msiba huu wa kitaifa.
Hapa tunamhukumu Mh makamu wa rais vibaya. Nilikiwepo uwanjani. Wakati anawatambua viongozi aliwatambua mawaziri wakuu waataafu, kiongozi wa kambi ya upinzani, meya na wabunge wote. Tusimlaumu uongo. Mlaumuni Gambo..
 
Kwanza nawapa pole wananchi wa Arusha na Tanzania kwa ujumla.pili nawapongeza viongozi wa serikali,vyama,dini na taasisi binafsi kwa kuungana na watanzania katika maombolezo haya. Suala la msingi ambalo mpaka sasa linanishangaza ni kwanini Makamu wa Rais ameshindwa kutambua uwepo wa waziri mkuu mstaafu mh.Edward Lowassa hata kama walioandaa ile itifaki hawakumuweka kwny list??...inabidi chuki tuweke pembeni kwenye masuala yanayotuunganisha kama taifa hasa tunapoomboleza kwenye msiba huu wa kitaifa.
Yupi yule fisadi jambazi aliyefilisi nchi yetu,tupa kule.
 
Msiba huu umetuonyesha kwamba jamii yetu inafocus sana kwenye utukufu wa ukubwa kuliko kutatua matatizo yanayoua wananchi.

Nilitegemea kuwe na mjadala mkubwa sana kuhusu chanzo cha ajali ni nini na tutapunguzaje ajali.

Matokeo yake naona mijadala mingi sana ya kwa nini Magufuli hajaenda msibani, kwa nini Lowassa kashangiliwa sana msibani, kwa nini Lema hajaalikwa kutoa hotuba, kwa nini Gambo kamkaidi Makamu wa rais kumualika Lema, kwa nini Makamu wa Rais hajatambua uwepo wa Waziri Mkuu Mstaafu ? etc.

Tunaacha mambo ya msingi, tunachukua ya kijinga.

Na tungekuwa serious tungekuwa walau tushafanya national dialogue kuhusu ajali za barabarani siku nyingi sana.

Hizi ajali hazijaanza juzi na hiyo ajali ya hao watoto.

Kila mara watu hufa kwa mafungu kupitia ajali za barabarani.

Lakini sijawahi kusikia chama chochote kile, mgombea yeyote yule wa urais au ubunge, akiweka roadway safety juu kwenye agenda yake.

We are not serious.
 
Kwanza nawapa pole wananchi wa Arusha na Tanzania kwa ujumla.pili nawapongeza viongozi wa serikali,vyama,dini na taasisi binafsi kwa kuungana na watanzania katika maombolezo haya. Suala la msingi ambalo mpaka sasa linanishangaza ni kwanini Makamu wa Rais ameshindwa kutambua uwepo wa waziri mkuu mstaafu mh.Edward Lowassa hata kama walioandaa ile itifaki hawakumuweka kwny list??...inabidi chuki tuweke pembeni kwenye masuala yanayotuunganisha kama taifa hasa tunapoomboleza kwenye msiba huu wa kitaifa.
Ni waziri aliyejuzulu, hajawahi kustafu
 
Remember hata Cancer huanza na cell moja kisha ina ambukiza nyingine again and again then its out of control! Ushauri wa bure ni Tuongeze Training kwa Askari zetu hasa katika upande wa Inteligency this time tuwe na watu wenye uwezo na mafunzo ya kutambua mtu anafikiria nini hata kwa kumtizama tu machoni na body language. Nguvu nyingi bila akili mwisho wake ni kufail vibaya# NoHardFeelings

 
Back
Top Bottom