GE2025 Makamu Mwenyekiti ACT Wazalendo Isihaka Mchinjita Akamatwa na Polisi Baada ya Uzinduzi wa Kampeni

GE2025 Makamu Mwenyekiti ACT Wazalendo Isihaka Mchinjita Akamatwa na Polisi Baada ya Uzinduzi wa Kampeni

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Bw. Isihaka Mchinjita, amekamatwa na Jeshi la Polisi, akitokea kwenye Uzinduzi wa Kampeni ambayo imezinduliwa leo katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mpilili.

Kukamatwa kwa Mchinjita kumeambatana wasaidizi wake wa chama hicho huku mabomu ya machozi yakirindima kuwatawanya wananchi waliokuwa wanatokea kwenye kampeni hizo.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Lindi, ACP John Imori, akizunguza na njia ya simu amesema hana taarifa yoyote ya kukamatwa kiongozi huyo na yuko Wilayani Ruangwa ila anafatilia kwa undani zaidi taarifa hizo akipata undani atatolea maelezo.
 
Hivi wanaoamini ACT ni CCM B wana uwezo gani wa akili kichwani.

CCM B mgombea wa uraisi azuiliwe mahakamani.

Naweza kukubali hoja ya watu ndani ya chama kutumika ila sio chama chote.

Ingekuwa ni CCM B basi wangetumia nafasi hii kuiimarisha ili Chadema idhoofike.
 
Tungekubaliana wote kususia huu uchafuzi reforms zingefanyika na tungepata uwanja sawa wa kufanya siasa lakini ACT Wazalendo wakashikiwa akili na Zitto Kabwe wakakubali kuhalisha hii haramu.
 
Hivi wanaoamini ACT ni CCM B wana uwezo gani wa akili kichwani.

CCM B mgombea wa uraisi azuiliwe mahakamani.

Naweza kukubali hoja ya watu ndani ya chama kutumika ila sio chama chote.

Ingekuwa ni CCM B basi wangetumia nafasi hii kuiimarisha ili Chadema idhoofike.
Sexless uko sahihi lakini kumbuka ''huko ngazi za chini'' wanaweza wasijue mlengo halisi wa chama na wao wakawa wanafanya siasa za kweli kumbe wenye chama wako kinyume. Mbege10 CCM inapotumia chama fulani, siyo wanachama wote wanajua kinachoendelea. Infact wanaojua undani wa mambo wanaweza kuwa viongozi wale wa juu na pengine siyo wote au ni mmoja tu. Hata CHADEMA baada ya Mbowe kutoka gerezani, siyo wote walikuwa wanajua kinachoendelea. Kama siyo Lissu kuwa jasiri na siyependa rushwa, mambo yangeweza kuisha bila wananchama wengi kujua ni nini kimetokea.
 
Sexless uko sahihi lakini kumbuka ''huko ngazi za chini'' wanaweza wasijue mlengo halisi wa chama na wao wakawa wanafanya siasa za kweli kumbe wenye chama wako kinyume. Mbege10 CCM inapotumia chama fulani, siyo wanachama wote wanajua kinachoendelea. Infact wanaojua undani wa mambo wanaweza kuwa viongozi wale wa juu na pengine siyo wote au ni mmoja tu. Hata CHADEMA baada ya Mbowe kutoka gerezani, siyo wote walikuwa wanajua kinachoendelea. Kama siyo Lissu kuwa jasiri na siyependa rushwa, mambo yangeweza kuisha bila wananchama wengi kujua ni nini kimetokea.
Sikupingi lakini naamini kabsa ACT ni chama ambacho wenye nguvu hawataki kikue zaidi ya hapo maana wanaona ni hatari kwao.ACT wana nguvu zanzibar.

Na ukweli mchungu kila chama cha siasa cha upinzani kina watu wanaotumika na hauwezi kuwamaliza wote.
 
Sikupingi lakini naamini kabsa ACT ni chama ambacho wenye nguvu hawataki kikue zaidi ya hapo maana wanaona ni hatari kwao.ACT wana nguvu zanzibar.

Na ukweli mchungu kila chama cha siasa cha upinzani kina watu wanaotumika na hauwezi kuwamaliza wote.
Sina shaka wala kupinga kuwa ACT kina nguvu Zanzibar na kinaogopwa na CCM. La kujiuliza ni hili: wale viongozi wenye kutoa direction ya chama wanaaminika? Mfano Zitto ana nguvu kweli kweli. Kuhusu kila chama kuwa na mapandikizi: Inategemea ni watu gani na wana nguvu gani kwenye chama.
 
CCM &ACT acheni kutufanya wapumbavu! Na hivyo vyama vyenu project...

Kwahiyo mnajifanya mnabalance equation sio? Ionekane sio chadema tu inakandamizwa...michezo ya kitoto sana hii!
 
Ataachiwa tu huyo, hayo ni maigizo ya kuwapiga changa la macho
 
Sina shaka wala kupinga kuwa ACT kina nguvu Zanzibar na kinaogopwa na CCM. La kujiuliza ni hili: wale viongozi wenye kutoa direction ya chama wanaaminika? Mfano Zitto ana nguvu kweli kweli. Kuhusu kila chama kuwa na mapandikizi: Inategemea ni watu gani na wana nguvu gani kwenye chama.
Nakubaliana na wewe kiongozi.

Shida nyingine katika nchi yetu ni kuwa na siasa yakupeana tuhuma bila ushahidi na hili muasisi mkuu ni CCM na Mbowe akafata hiyo njia.Ikawa kila anaetaka uenyekiti anapewa tuhuma bila ushahidi na watu wanaamini tu bila kujiuliza.

MUNGU alivyofundi njia ile ile aliyowapitisha wenzie ndio njia na yeye aliyopitishwa na LISSU.

Kilichomponza Zitto hadi sasa hivi ni kuutaka uenyekiti wa CDM na sio kingine.Zitto aliwahi kutoa tuhuma nyingi kwa Mbowe ikiwemo ukaribu wa Mbowe na Nimrod lakini watu walipinga kwelikweli.LISSU na LEMA waliongoza jahazi lakumshambulia ZITTO.

HATA HUYU LISSU IKO SIKU ATAITWA MSALITI NA MIONGONI MWA HAWAHAWA WANAOMSIFIA SASA HIVI.NA WENGINE WATATUMIA KIGEZO CHA KUTOKUSHIRIKI UCHAGUZI MWAKA HUU KAMA NI MBINU YAKUISAIDIA CCM.

TUJIPENI MUDA.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Bw. Isihaka Mchinjita, amekamatwa na Jeshi la Polisi, akitokea kwenye Uzinduzi wa Kampeni ambayo imezinduliwa leo katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mpilili.

Kukamatwa kwa Mchinjita kumeambatana wasaidizi wake wa chama hicho huku mabomu ya machozi yakirindima kuwatawanya wananchi waliokuwa wanatokea kwenye kampeni hizo.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Lindi, ACP John Imori, akizunguza na njia ya simu amesema hana taarifa yoyote ya kukamatwa kiongozi huyo na yuko Wilayani Ruangwa ila anafatilia kwa undani zaidi taarifa hizo akipata undani atatolea maelezo.
Wangekamatwa na wafuasi wake ili aseme kwanini walijifunza maigizo!
 
Nakubaliana na wewe kiongozi.

Shida nyingine katika nchi yetu ni kuwa na siasa yakupeana tuhuma bila ushahidi na hili muasisi mkuu ni CCM na Mbowe akafata hiyo njia.Ikawa kila anaetaka uenyekiti anapewa tuhuma bila ushahidi na watu wanaamini tu bila kujiuliza.

MUNGU alivyofundi njia ile ile aliyowapitisha wenzie ndio njia na yeye aliyopitishwa na LISSU.

Kilichomponza Zitto hadi sasa hivi ni kuutaka uenyekiti wa CDM na sio kingine.Zitto aliwahi kutoa tuhuma nyingi kwa Mbowe ikiwemo ukaribu wa Mbowe na Nimrod lakini watu walipinga kwelikweli.LISSU na LEMA waliongoza jahazi lakumshambulia ZITTO.

HATA HUYU LISSU IKO SIKU ATAITWA MSALITI NA MIONGONI MWA HAWAHAWA WANAOMSIFIA SASA HIVI.NA WENGINE WATATUMIA KIGEZO CHA KUTOKUSHIRIKI UCHAGUZI MWAKA HUU KAMA NI MBINU YAKUISAIDIA CCM.

TUJIPENI MUDA.
Kama hujui kuwa Zitto ni pro-CCM basi sina njia ya kuku-convince. Pengine hujui hata ACT ilianzishwaje! Ngoja nikupe hint kidogo: ilianzishwa kipindi Kikwete (rafiki wa karibu wa Zitto) anamaliza kipindi chake na hakikukumbana na vikwazo hata kidogo kama vyama vingine vinapoanza na ilikuwa na haikuanzishwa kimaskini.
 
Hivi wanaoamini ACT ni CCM B wana uwezo gani wa akili kichwani.

CCM B mgombea wa uraisi azuiliwe mahakamani.

Naweza kukubali hoja ya watu ndani ya chama kutumika ila sio chama chote.

Ingekuwa ni CCM B basi wangetumia nafasi hii kuiimarisha ili Chadema idhoofike.
Mkuu kabla ya political move lazima uangalie madhara ya muda mrefu. Mfano ukiimarisha ACT ukaiua chadema vipi wanachama wote wa chadema wkaihamia ACT huoni tungepata chama kikubwa cha upinzani kilicho Bara na Visiwani? Hiyo ni hatari kubwa kuliko kuwa na chadema imara bara na ACT imara zanzibar.

Pili Mpina angeweza kupata momentum jinsi kampeni zinavyosogea hivyo hata asingeshinda urais ila angeleta damage kubwa hivyo kumpunguzia credibility kabisa Samia kwenye hii miaka 5 kama ilivyokua kwq Dr Slaa 2010 alimmaliza kabisa JK na hakukubalika ever since
 
Kama hujui kuwa Zitto ni pro-CCM basi sina njia ya kuku-convince. Pengine hujui hata ACT ilianzishwaje! Ngoja nikupe hint kidogo: ilianzishwa kipindi Kikwete (rafiki wa karibu wa Zitto) anamaliza kipindi chake na hakikukumbana na vikwazo hata kidogo kama vyama vingine vinapoanza na ilikuwa na haikuanzishwa kimaskini.
Zitto mwenyewe alikiri kuwa JK alimshauri asiingie CCM ila aanzishe chama kipya!! Hii statement pekee ilionyesha nani hasa alikua mfadhili wa hiko chama.
 
Kama hujui kuwa Zitto ni pro-CCM basi sina njia ya kuku-convince. Pengine hujui hata ACT ilianzishwaje! Ngoja nikupe hint kidogo: ilianzishwa kipindi Kikwete (rafiki wa karibu wa Zitto) anamaliza kipindi chake na hakikukumbana na vikwazo hata kidogo kama vyama vingine vinapoanza na ilikuwa na haikuanzishwa kimaskini.
Sawa je Chadema,CUF,TLP vilianzishwaje.

Na unavyoona katika nchi hizi za Africa watawala wasipotaka usajili chama je unaweza kufanikisha hilo.
 
Mkuu kabla ya political move lazima uangalie madhara ya muda mrefu. Mfano ukiimarisha ACT ukaiua chadema vipi wanachama wote wa chadema wkaihamia ACT huoni tungepata chama kikubwa cha upinzani kilicho Bara na Visiwani? Hiyo ni hatari kubwa kuliko kuwa na chadema imara bara na ACT imara zanzibar.

Pili Mpina angeweza kupata momentum jinsi kampeni zinavyosogea hivyo hata asingeshinda urais ila angeleta damage kubwa hivyo kumpunguzia credibility kabisa Samia kwenye hii miaka 5 kama ilivyokua kwq Dr Slaa 2010 alimmaliza kabisa JK na hakukubalika ever since
Sasa hapo hauoni kama ACT inaweza kuwa na watu wanaotumika kama vile ilivyo kwa vyama vingine na sio Chama kizima kinatumika.

Maalim Seif aliefanyiwa figisu ya namna ile asingeweza kujiunga katika chama cha namna ileile.Ni hoja ndogo tu haiitaji kuumiza kichwa.

Tatizo kubwa la Zitto ninalomuona nalo ni kuwa na siasa zakistaarabu jambo ambalo Africa sio siasa tuzipendazo.

Mfano Tanzania siasa zakiuanaharakati ndio zinapendwa uwanange polisi,Usalama,viongozi n.k hata kama huoneshi njia ya utatuzi.

Siasa zetu zinazopendwa ni zile zakupinga tu bila kusema solution.Sasa ACT wanajifanya wanasiasa za bara ulaya wanatoa solution.Inawacost na itawacost sana wawe na siasa kama walizokuwa nazo CUF kipindi kile wanasumbua au Chadema.
 
Zitto mwenyewe alikiri kuwa JK alimshauri asiingie CCM ila aanzishe chama kipya!! Hii statement pekee ilionyesha nani hasa alikua mfadhili wa hiko chama.
Kiuhalisia wanasiasa wote nchi hii wanashauriana sana na wengi wao hawa wakubwa wanaelewana sana.

Zitto anaelewana tena vizuri sana na Lissu pamoja na Mbowe tena vizuri sana.Elewa neno vizuri sana.Siandiki kwa kufurahisha genge najua ninachoandika.
 
Back
Top Bottom