GE2025 Makamu Mwenyekiti ACT Wazalendo Isihaka Mchinjita Akamatwa na Polisi Baada ya Uzinduzi wa Kampeni

GE2025 Makamu Mwenyekiti ACT Wazalendo Isihaka Mchinjita Akamatwa na Polisi Baada ya Uzinduzi wa Kampeni

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kamanda wa Polisi mkoa wa Lindi, ACP John Imori,

Kiongozi wa juu wa ACT Wazalendo anakamakatwa huku kamanda wa polisi wa Polisi wa mkoa hajapelekewa habari, hii ina maana kubwa kuwa ACT Wazalendo hakichukuliwi kwa uzito kama chama dola kongwe tawala hata wakati wa uchaguzi mkuu wa nchi.

Je wagombea wengine wa ACT Wazalendo wapo salama kuanzia Luhaga Mpina urais, ubunge na udiwani kweli watapata haki mbele ya vyombo na mihimili wakati huu wa uchaguzi feki?
 
Sasa hapo hauoni kama ACT inaweza kuwa na watu wanaotumika kama vile ilivyo kwa vyama vingine na sio Chama kizima kinatumika.
Kwani kuna chama chochote ambacho wanachama wa kawaida huwa wanaambiwa "sisi ni CCM B"? ila mara nyingi kamati kuu ndio inakua inajua mchezo mzima ndio maana ACT ilikubali haraka haraka matokeo ya 2020 licha ya uhuni uliofanyika!! Hata huyu OMO alikua sio ACT ila akateuliwa kuwa makamu wa Rais ilihali second in command ni Duni, then Jusa et al. Why? Sababu OMO ni mtu wa system kuliko "outsider" kama Babu Duni.
 
Maalim Seif aliefanyiwa figisu ya namna ile asingeweza kujiunga katika chama cha namna ileile.Ni hoja ndogo tu haiitaji kuumiza kichwa.
Unadhani kwanini hakwenda chadema wakati kilikua ndio better option? Ni lazima alijua kama CUF imevurugwa hata chadema ingevurugwa ndo maana akaona aende CCM B na hata akaletewa mgombea wa CCM (Membe) ku divert nguvu ya Lissu. Wazungu wanasema if you can't beat them join them na Zanzibar imekua stable hii miaka 5
 
Watakamatwa wote sio zitto Kabwe, tunampongeza kwa kutokubudhudiwa na polisi, huenda anafanya siasa za kistaarabu.
 
Sawa je Chadema,CUF,TLP vilianzishwaje.

Na unavyoona katika nchi hizi za Africa watawala wasipotaka usajili chama je unaweza kufanikisha hilo.
Du, unauliza hivyo vyama wakati vilianzishwa wakati serikali na CCM vikiwa na viongozi wenye vision na wanaokubali ushindani wa vyama vingi? Hebu nenda leo kajaribu kuanzisha chama uone moto wake.
 
Kwani kuna chama chochote ambacho wanachama wa kawaida huwa wanaambiwa "sisi ni CCM B"? ila mara nyingi kamati kuu ndio inakua inajua mchezo mzima ndio maana ACT ilikubali haraka haraka matokeo ya 2020 licha ya uhuni uliofanyika!! Hata huyu OMO alikua sio ACT ila akateuliwa kuwa makamu wa Rais ilihali second in command ni Duni, then Jusa et al. Why? Sababu OMO ni mtu wa system kuliko "outsider" kama Babu Duni.
Hapa unaandika hisia sio uhalisia ndugu.

Je wakati anateuliwa Lowassa kuwa mgombea wa Uraisi.Huo wakati Chadema kilikuwa kinatumiwa na CCM.

Kuhusu OMO apimwe kwa namna alivyo sio kwa hisia kuwa huyu ni hivi na vile kwa namna hiyo hatutaamini mtu yeyote kutoka serikalini au CCM.Usisahau MTEI muanzilishi wa CDM alikuwa gavana wa BOT vipi hapo.
 
Hahaha, Lini imekuwa dhambi mume kumshika mkeo makalio?

Watajuana wenyewe hao ni mwili mmoja.
 
Hawamu hii wote wanaojiita wapinzani walipaswa kutoshiriki kabisa "uchafuzi mkuu", malikia aendelee kujitekenya na kucheka mwenyewe.
 
Je wakati anateuliwa Lowassa kuwa mgombea wa Uraisi.Huo wakati Chadema kilikuwa kinatumiwa na CCM.
Ndio mbowe alinunuliwa 2015 that is too obvious. Imagine Rostam ndio alikua fundraiser wa chadema!!! Pure scam
 
Kuhusu OMO apimwe kwa namna alivyo sio kwa hisia kuwa huyu ni hivi na vile kwa namna hiyo hatutaamini mtu yeyote kutoka serikalini au CCM.Usisahau MTEI muanzilishi wa CDM alikuwa gavana wa BOT vipi hapo
Hao wa BOT walipishana na Nyerere maana walikua capitalists huku Nyerere ni socialist. Ila huyu OMO mpaka maalim anafariki hakua na nafasi yoyote ACT!! muujiza gani mtu asiye mwanachama kupewa uenyekiti na makamu wa Rais bila "mkono mrefu"
 
Hao wa BOT walipishana na Nyerere maana walikua capitalists huku Nyerere ni socialist. Ila huyu OMO mpaka maalim anafariki hakua na nafasi yoyote ACT!! muujiza gani mtu asiye mwanachama kupewa uenyekiti na makamu wa Rais bila "mkono mrefu"

..OMO alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Znz lakini akafukuzwa kazi baada ya kupinga katiba pendekezwa wakati wa bunge la Katiba.

..yule jamaa ni Mpemba na inasemekana alikuwa akim-support Maalim Seif kipindi chote alipokuwa serikalini.

..Nadhani wakati anachaguliwa kurithi nafasi ya Maalim Seif OMON alikuwa nje ya nchi akifanya kazi katika shirika la kimataifa la masuala ya sheria za hati miliki.
 
Ndio mbowe alinunuliwa 2015 that is too obvious. Imagine Rostam ndio alikua fundraiser wa chadema!!! Pure scam
Kwahyo zile kauli za Mbowe hana bei zilikuwa uongo.

Maana mlikuwa mnazisisitiza nyie wenyewe.
 
Je kama alikuwa mwanachama asieonekana.

Tatizo tuhuma nyingi huwa mnazitoa kwa hisia kuliko ushahidi madhubuti wakuthibitisha kauli zenu ndio maana baadae huwa mko tayari kuzikana.

Mlimtuhumu Lowassa fisadi ila baadae mkakana peupe bila aibu na nyinyi ndio mkawa mnauliza ushahidi pindi wapinzani wenu wakiwaambia hizo tuhuma za Lowassa.

Mkaiaminisha dunia kuwa Mbowe ndio mpinzani pekee asie na bei.Na kila aliekuwa anagombea nae mkamuita msaliti.MUNGU alvyofundi sasa hivi mnasema alinunuliwa na amekisaliti chama.

Hizi siasa zakuchafuana Mbowe aliziasisi na zimemtokea puani.

Jifunzeni siasa za kistaarabu sio hizo siasa zenu zakuona yeyote asie chadema basi sio mpinzani.

Kwenu chadema hata demokrasia tu hamuijui huo ni ukweli mchungu.Sasa jifunzeni demokrasia ili muheshimu wengine muwe tofauti na Ccm.

Sio kila anaewasifia basi ni mwenzenu na anaewapinga ni adui yenu.Hakuna sehemu yeyote inayoknesha mko sahihi kwenye kila jambo.

Nakuuliza jambo na niko tayari kwa huu mjadala na nyie.Hivi unajua hii hoja yakutaka reforms za uchaguzi ni hoja walioitoa ACT WAZALENDO na nyie mliipinga mkasema wanatumika kuweka viraka katiba.Lakini ghafla nyie mkairukia nakuwashangaa walioamua kuingia kwenye uchaguzi bila reforms.

Nyie mlisema mnataka katiba na sio reforms ni kuiweka viraka katiba.Je nani ameonekana alikuwa sawa kati yenu na ACT?

Majibu yenu yawe yamenyooka na msione aibu kuukubali ukweli,hiyo ndio demokrasia.
 
..OMO alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Znz lakini akafukuzwa kazi baada ya kupinga katiba pendekezwa wakati wa bunge la Katiba.

..yule jamaa ni Mpemba na inasemekana alikuwa akim-support Maalim Seif kipindi chote alipokuwa serikalini.

..Nadhani wakati anachaguliwa kurithi nafasi ya Maalim Seif OMON alikuwa nje ya nchi akifanya kazi katika shirika la kimataifa la masuala ya sheria za hati miliki.
Deep in my heart bado naamini jamaa ni mtu wa mfumo kwa nadharia ya "controlled opposition" ndio maana kumekua na stability kidogo zanzibar kuliko enzi za Maalim ambapo kulikua na amsha amsha nyingi sana ila ACT ni kama imeshaacha zile struggle imekua more diplomatic and rational kitu ambacho kimeondoa ile azma ya watu kupiga kura to the last man kama enzi za maalim. Kwa sasa naamini hata uchaguzi ukiwa huru na haki bado CCM itashinda maana wapiga kura hasa wa pemba hawana motive ya kupiga kura kulinganisha na enzi za Maalim.
 
Kwahyo zile kauli za Mbowe hana bei zilikuwa uongo.

Maana mlikuwa mnazisisitiza nyie wenyewe.
Nani huyo alisema? Mbona wana chadema kibao humu kama kina Tindo walipinga wazi wazi ujio wa Lowassa? No disrespect kwa Mbowe naamini alikua na misimamo sana ila kuna mahali alianza kuwa compromised na baada ya kuanguka uenyekiti ndio tumeona rangi yake halisi.
 
Kwenu chadema hata demokrasia tu hamuijui huo ni ukweli mchungu.Sasa jifunzeni demokrasia ili muheshimu wengine muwe tofauti na Ccm.
Hahahaha acha utani, mbowe anaweza kuwa anything ila demokrasia aliheshimu sana ndio maan Lissu alimpinga wazi wazi ila hakuwahi timuliwa chadema. Hata uchaguzi mkuu uliona ulivyokua free and fair kama CCM mnaweza igeni kwanza ndio mje mzungumzie demokrasia. Sio mgombea anapitishwa kijanja janja!!
 
Nani huyo alisema? Mbona wana chadema kibao humu kama kina Tindo walipinga wazi wazi ujio wa Lowassa? No disrespect kwa Mbowe naamini alikua na misimamo sana ila kuna mahali alianza kuwa compromised na baada ya kuanguka uenyekiti ndio tumeona rangi yake halisi.
Wanachadema waliompinga Mbowe ni wachache sana kuliko waliomuunga mkono humu.

Asilimia 98 ya wanachadema humu walikuwa wanasema Mbowe hanunuliki.

Tuliweke vizuri hili.
 
Hahahaha acha utani, mbowe anaweza kuwa anything ila demokrasia aliheshimu sana ndio maan Lissu alimpinga wazi wazi ila hakuwahi timuliwa chadema. Hata uchaguzi mkuu uliona ulivyokua free and fair kama CCM mnaweza igeni kwanza ndio mje mzungumzie demokrasia. Sio mgombea anapitishwa kijanja janja!!
Hiyo ndio hoja pekee uliyoiona.

Ule uchaguzi ulikuwa mgumu kwa Mbowe kufanya lolote coz Lissu anajua mbinu zote zinazotumika na alijiandaa kwa hilo.

Sarakasi nyingi zilikuwepo pale ila ziligoma acha kujifanya ni watakatifu.

Nazijua chaguzi za ndani ya vyama pinzani zinavyoongozwa na figisu zake.

Vp hoja za ACT kutaka REFORMS na nyinyi mlivyowapinga mkasema mnataka katiba reforms za uchaguzi sio muhimu.
 
Back
Top Bottom