JOESKY
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 823
- 2,044
Wadau mimi ni mhitimu wa shahada ya kwanza ya ualimu BAED mwaka 2016 nimejaribu kutafuta kazi kwa udi na uvumba lakini mambo bado ya moto.
Nimepost uzi huu ili muweze kunisaidia kujua baadhi ya mambo muhimu kuhusu haya makampuni ya ulinzi na namna wanavyowapata wafanyakazi na mishahara na promotion zao pia. Binafsi nimtokea kuvutiwa sana na kampuni la G4S vipi kwa wale wenye details za kutosha kuhusu hili kampuni linaweza likanipa ajira hata bila ya kupitia mgambo au jkt kisa tu nina vyeti vya elimu ya juu?
Maana niliwahikusikia uvumi kwamba hawa jamaa wao wanaangalia smartness ya mtu kuliko nguvu yaani ni kampuni ambalo linajali zaidi matumizi ya akili ndio maana kampuni mara kadhaa lina wapeleka wafanyakazi wake vyuoni kuongeza elimu hasa masomo ya psychology nk
Ajira serikalini zimekuwa kaa la moto nataka mwaka unaoanza hapo mbele nijikite tu kwenye kutafuta ajira nje ya career yangu hasa huku kwenye makampuni ya ulinzi ya kimataifa.
karibuni kwa mjadala
Nimepost uzi huu ili muweze kunisaidia kujua baadhi ya mambo muhimu kuhusu haya makampuni ya ulinzi na namna wanavyowapata wafanyakazi na mishahara na promotion zao pia. Binafsi nimtokea kuvutiwa sana na kampuni la G4S vipi kwa wale wenye details za kutosha kuhusu hili kampuni linaweza likanipa ajira hata bila ya kupitia mgambo au jkt kisa tu nina vyeti vya elimu ya juu?
Maana niliwahikusikia uvumi kwamba hawa jamaa wao wanaangalia smartness ya mtu kuliko nguvu yaani ni kampuni ambalo linajali zaidi matumizi ya akili ndio maana kampuni mara kadhaa lina wapeleka wafanyakazi wake vyuoni kuongeza elimu hasa masomo ya psychology nk
Ajira serikalini zimekuwa kaa la moto nataka mwaka unaoanza hapo mbele nijikite tu kwenye kutafuta ajira nje ya career yangu hasa huku kwenye makampuni ya ulinzi ya kimataifa.
karibuni kwa mjadala