Mwita Mtu Mrefu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 739
- 1,116
Njoo Dar,Nipo dodoma hapa mkuu ila sijajua kama na hapa wapo au vipi maana hao G4s wao wapo dar mwanza arusha na mbeya nafikiri mikoa mingine hakuna
Panga chumba cha giza anza maisha.
Njoo Dar,Nipo dodoma hapa mkuu ila sijajua kama na hapa wapo au vipi maana hao G4s wao wapo dar mwanza arusha na mbeya nafikiri mikoa mingine hakuna
Usijione mzembe kwa maana Mungu yupo pamoja na wewe mdogo wangu.Anaona labda nimekuwa mzembe kutafuta kazi 😂😂
Mimi nilikaa miaka 3 bila kazi kisha nikapata kazi BANK take home ya kutisha wakati huo sina mke wala mtotoDuuh,kwa hiyo tangu 2016 hujawahi kuajiriwa?
Wewe weka tu vyeti vyote unaweza ukapewa hata u supervisor..Nimekupata mkuu asante sana hapo naanza na cheti cha form four na six tu basiii kama ipo ipo tu hakuna haja ya kuwa mwoga
Acha kuota mchanaWewe weka tu vyeti vyote unaweza ukapewa hata u supervisor..
Nashukuru kwa taarifa hii mkuuG4s wanavitu vingi mpaka uwe na wadhamini wawili na wawe wanasheria viongozi was dini au mjumbe na vyeti ukaige mhuri wa mahakama nafasi zipo mshahara laki2 nilienda hivi karibuni Ila nataka niende garda
Duh na Muda wote ulikuwa unatafuta kazi au ulikuwa na mishe zingineMimi nilikaa miaka 3 bila kazi kisha nikapata kazi BANK take home ya kutisha wakati huo sina mke wala mtoto
Nilikuwa ninafundisha tuition mchikichini kule IlalaDuh na Muda wote ulikuwa unatafuta kazi au ulikuwa na mishe zingine
Ikawaje tenaMimi nilikaa miaka 3 bila kazi kisha nikapata kazi BANK take home ya kutisha wakati huo sina mke wala mtoto

Huo labda angepitia jeshi loloteWewe weka tu vyeti vyote unaweza ukapewa hata u supervisor..
Walitaka kuniua kwa sababu ya pesa, nikaacha kazi nikaingia mtaaniIkawaje tena![]()
How???...na unapiga mishe gan now???Walitaka kuniua kwa sababu ya pesa, nikaacha kazi nikaingia mtaani
Ninaomba kuja PM kama hutojali mkuuHow???...na unapiga mishe gan now???
Na kwangu piaNinaomba kuja PM kama hutojali mkuu
Poa mkuuNa kwangu pia