Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 4,906
- 7,125
sawa braza endelea kupunguza hasira ila washalipia VAT na kila kitu kwenye huo muamala, watafte na wa VAT nao wambie wamekuibia. mistake haiwezi kuwa error japo error ni mistake.
usiponielewa hapo ndio basi tena.
We jamaa una exposure ndogo sana. Hivi unelewa kuwa hata miamala tu ukikosea hurudisha pamoja na hizo VAT zako unazoona kuwa ni kikwazo.
Mtoa mada amewapa challenge, wao ndo wanamaintain account zote eg tigo pesa na muda wa hewani. Vp washindwe ku reverse huo muamala? Hapo ndipo hoja ilipo.