JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,879
Haiwezekani eti mtu umenunua salio kwa tigopesa ukakosea badala ya 2500 ukaweka 250000 alafu wakakukata salio la laki mbili na nusu.
Alafu eti unawapigia wanakuambia eti haiwezekani kurudisha hela yako kwa tigopesa huu ni mpango kabisa wa kuwaibia wateja watakaokosea kununua salio kwa tigopesa.
Mbona ukituma muamala kimakosa kuna namna ya kurudisha ila kwa nini salio iwe shida wakati ni mtandao moja? Hizi ni mifumo ya kipumbavu sana ambayo imewekwa makusudi kuibia wateja.
Alafu eti unawapigia wanakuambia eti haiwezekani kurudisha hela yako kwa tigopesa huu ni mpango kabisa wa kuwaibia wateja watakaokosea kununua salio kwa tigopesa.
Mbona ukituma muamala kimakosa kuna namna ya kurudisha ila kwa nini salio iwe shida wakati ni mtandao moja? Hizi ni mifumo ya kipumbavu sana ambayo imewekwa makusudi kuibia wateja.