A Aley omar Member Nov 27, 2011 9 0 Nov 27, 2011 #23 unaweza kunisaidia nikajoin nayo nakuweza kufanya kazi humo jaribu kuniulizia then nijulishe niweze kujua sifa wanazotaka
unaweza kunisaidia nikajoin nayo nakuweza kufanya kazi humo jaribu kuniulizia then nijulishe niweze kujua sifa wanazotaka
neyl Senior Member Nov 23, 2011 127 19 Nov 28, 2011 #24 izo kaz ni za kiulinz kwel kwel au hata wadada twaweza fanya?
Raia Mvumilivu Member Nov 28, 2011 20 3 Nov 28, 2011 #25 Kiswahili ni lugha tamu sana lakini watu wachache mwaiharibu....."Gali" ndio nii?@ asigwa.:lol: